nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Nimesikia kwa juu juu tu ukiwa na account katika benk ya ABSA unapata riba kila mwezi kutokana na salio lako lakini pia wanatoa mkopo low condition. Pia unapewa kadi papo kwa papo.
Kwa yeyote mwenye uelewa na habari za Absa anisaidie, kesho nikafungue. Asanteni.
Kwa yeyote mwenye uelewa na habari za Absa anisaidie, kesho nikafungue. Asanteni.