Mbonde Ally
Member
- Feb 4, 2018
- 43
- 57
Manzese kwa bei iyo unapata hoteli kabisa sio logde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwenyeji wako ameshindwaje kukuelekeza mpaka uje kuulizia huku?yeah wewe umenielewa vizuri
Hii lodge ni mbovu sana,sitarudia kulala hapo.Hapo TipTop kuna Lodge ni ya ghorofa jina nimelisahau,ipo barabani kabisa, ni nzuri ina usalama bei kuanzia elfu15
Acha umalayaMkuu unaweza kufikia kwangu for free[emoji41]
Mambo ya UMALAYA yametokea wapi? I have enough rooms atalala pake yake[emoji41]Acha umalaya
Kintunku Guest House tsh 3000 kwa sikuNaomba husika na mada apo juu naomba mwenye uzoefu anipe jina la lodge nzuri maeneo ayo isizidi 25 jamani sina hela bajeti yangu ndogo natokea pemba naitaji kukaa apo kwa siku 4 ila ninaemfata yupo na chumba kimoja tu.
Naimani mutanisaidia
Sasa mwenyeji wako ameshindwaje kukuelekeza mpaka uje kuulizia huku?
Ongea naye akutafutie mahala pazuri, au hana ushirikiano?.ninaemfata yupo na chumba kimoja tu.
Sasa mwenyeji wako ameshindwaje kukuelekeza mpaka uje kuulizia huku?
pacificHapo TipTop kuna Lodge ni ya ghorofa jina nimelisahau,ipo barabani kabisa, ni nzuri ina usalama bei kuanzia elfu15
Uwanja wa FisiNaomba husika na mada apo juu naomba mwenye uzoefu anipe jina la lodge nzuri maeneo ayo isizidi 25 jamani sina hela bajeti yangu ndogo natokea pemba naitaji kukaa apo kwa siku 4 ila ninaemfata yupo na chumba kimoja tu.
Naimani mutanisaidia
Sasa mwenyeji wako ameshindwaje kukuelekeza mpaka uje kuulizia huku?
Basi yaishe mrembo Jana kichwa changu hakikuwa sawa nakuja PM kukupigia magoti kabisa!ww kama unashindwa kunijibu acha tu mbona unafanya mambo kama sisi tunaosafika tumbo kila mwezi achia izo kakangu
Hili nalo ni la kujiuliza [emoji1787].Inakuaje?Kwanini? Mweneji asimuelekeze[emoji28][emoji28]Sasa mwenyeji wako ameshindwaje kukuelekeza mpaka uje kuulizia huku?
Mbona wanaume wakiomba hii misaada wanakwepwa?Mambo ya UMALAYA yametokea wapi? I have enough rooms atalala pake yake[emoji41]