Naomba kuelekezwa namna ya kutengeneza API

ZenoPay wanatoa Api za Kupokelea Malipo kwa Njia ya Malipo ya Simu na Card
 
Duuh! kumbe mimi ndie niliomba msaada wa namna ya kutengeza API?

Yote kwa yote asanteni sana wakuu maana kwa sasa nazishusha kwa kutumia Java na framework ya Spring-boot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…