kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 400
- 513
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Surewatu wanashindwa kutofautisha kati ya synthetic and mineral oil, kila kampuni za kutengeneza oil wanatengeneza hizo oil za aina 2....unakuta mtu anakariri castrol zinaenda km nyingi na anaweka mineral oil matokeo yake anaenda km nyingi kuzidi uwezo wa oil kuhimili hapo kinachofuata ni kuua engine tu
Kwani umeulizwa umenunua wapiNiliziagizaga Japan.... kuna jamaa angu alikuwa huko aliniletea kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nmekuelewa vizuri sana kwa some mkuu shukranKinachofanya oil ziende km nyingi siyo jina (Castrol, BP oryx n.k) bali in teknolojia iliyotumika kupata oil husika. Oil ya kampuni yeyote ikiwa ni synthetic technology huwa inakuwa na uwezo mkubwa kuliko oil za kawaida (Mineral Oil). Ninaposema uwezo mkubwa namaanisha uwezo Wa kulinfa injini isichakae, kupunguza matumizi ya mafuta na kukaa muda mrefu toka ilupowekwa had I kubadirishwa