Naomba kuelewesha kwanini alama za vidole hazifanani kati ya mtu na mtu?

Naomba kuelewesha kwanini alama za vidole hazifanani kati ya mtu na mtu?

gidlameck

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
618
Reaction score
530
Sina shaka mungu ametujalia kuiona ck nyingine tena ambao hamkufanikiwa kusimama na kutembea mola awape wepesi tena naomba kujua kupitia jukwaa hili kwani kuna wataalam na wabobezi wa mambo mbalimbali napenda kuuliza ni kwa nn alama za vidole havifanani kati ya mtu na mtu

Halafu kuna jamaa yangu anasema kwenye koo kuna kama kitu kimekwama japo chakula anakula vzr tu ila na hakuna maumivu yapo kidogo tu je tatizo ni nn
 
Pole zake. Amtangulize tu Mungu. Atapona. Laaa kwa ushauri aende tu Hospital
 
Havifanani ili kutofautishana kati ya mtu na mtu mpe polee jamaa mwambie aende hospital
 
Mkuu hii ungeipeleka jukwaa la Jf doctor
 
Nadhani ushauri mzuri ni kwenda hospital kufanya checkup maana siku hizi magonjwa mengi hasa kansa.
 
Kwenye maradhi punguzeni dhihaka,toeni ushau mwema mtapata baraka za mungu wana Jf
 
"...napenda kuuliza ni kwa nn alama za vidole havifanani kati ya mtu na mtu "

Binadamu tunatofautiana mkuu...Ni katika uumbaji Mungu ndio ametutofautisha na ndio maana unaona fikra zetu, mitazamo na mawazo yetu hayafanani...
(Special and Unique characters)
 
"...napenda kuuliza ni kwa nn alama za vidole havifanani kati ya mtu na mtu "

Binadamu tunatofautiana mkuu...Ni katika uumbaji Mungu ndio ametutofautisha na ndio maana unaona fikra zetu, mitazamo na mawazo yetu hayafanani...
(Special and Unique characters)
Swali ni dogo, na ni Gumuu, Siku ukisikia sauti ya muumba wako?: Na majibu yako utayapata siku hiohio. Mkuu
 
Na havifanani kwelikweli kama strip za punda milia kila mmoja ana yake
 
Nashukuru ila sijapata majibu sahihi la alama za vidole kutofautiana kuhusu rafiki yangu nitamshauri pia aende hospital ila ningepata jibu la alama kutofautiana ningenenepa
 
Back
Top Bottom