Denis Yustad
Member
- Mar 16, 2020
- 10
- 1
Hivi hii batani kwenye Gari uwa inafanya kazi gani? Maana Mimi naionaga ila sijui kazi yake nini kwenye Gari pamoja na kwamba, Mimj nibDereva. Hapa iko OFF, ila ukiiweka ON Gari inapiga Alam. Hii ni Noah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app