Jofure freeman
Senior Member
- May 21, 2018
- 150
- 381
Wakuu naomba kwa wazoefu wa hii biashara hii ya udalali a.k.a "Wazee wa Kulenga" mnisaidie nina mtaji wa gari moja mpya nataka nianze kununua na kulenga magari yaliyotumika. Je, changamoto ni zipi? Vipi kuhusu faida na hasara zake?
Kiufupi niliwahi kufanya mwaka jana nikanunua ka gari ka millioni 6 nimekaa nayo kwa zaidi ya miezi sita nikaja kuuza kwa million 5 sasa nikawa nimeogopa na kusitisha kwa muda maana badala ya kulenga nikaona nimelengwa mimi.
Nishaurini ndugu zangu. Biashara hiyo naipenda. Kwa sasa nimeomba ushauri wenu kabla sijaweka mtaji wangu tena wa mil7+.
Nakaribisha ushauri wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi niliwahi kufanya mwaka jana nikanunua ka gari ka millioni 6 nimekaa nayo kwa zaidi ya miezi sita nikaja kuuza kwa million 5 sasa nikawa nimeogopa na kusitisha kwa muda maana badala ya kulenga nikaona nimelengwa mimi.
Nishaurini ndugu zangu. Biashara hiyo naipenda. Kwa sasa nimeomba ushauri wenu kabla sijaweka mtaji wangu tena wa mil7+.
Nakaribisha ushauri wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app