Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Kijana spika nzur za bass ni Opra ila kuzipata origina ni mtihani... Na zina bei kubwam. Kipindi zinaanza kutoka tulinunua 1.5mil kwa box ya twin speakers.. Kifupi unahitaj mixer,equaliser,crossover, kama utapenda pata na compressor.. Ila kupata mziki mtamu nunua busta mbili moja ya 1000-1500wats kwa ajil ya midi na 2000+ watts kwa ajil ya bass kama hauna hio hela nunua busta kubwa moja kama 4500watts itakua poa zaid.. Busta pro ambazo hazinaga tabu na spare zake ni rahic kupatikana na nafuu ni MAX MX SERIES kama zile MX1000, MX2000,MX4500. behringer hiz busta zao mpya zinaitwa euro series ni nzur zinapiga mziki mpaka spika yako unaionea huruma ila ikifa ndo bai bai zinatumia resistor ndogo tunaita za chawa hazina spea.. Mambo ni mengi.. Kama upo interested ni PM au nenda UHURU MUSIC STORE - WAKALA WA OPRA NA CANDY ILA USIJE NUNUA BASS YA CANDY , AU NENDA CITY SOUND,- WAKALA WA FIDEK NA MAKOLOKOLO YOTE YA MZIKI , AU NENDA AGGREY MUSIC STORE- WAKALA WA MORGAN NA MAKOLOKOLO KIBAO.. Kua makini bidhaa za mziki feki ni nyingi.. Kama huna uzoef tafuta mtu mzoef sana wa kukuongoza