Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,733
Mke wangu ana mtoto wa miezi 8,ni kwamba bado ananyonya,but imetokea tatizo mke wangu ana mimba changa, je kuendelea kumnyonyesha mtoto kuna madhara yoyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wangu ana mtoto wa miezi 8,ni kwamba bado ananyonya,but imetokea tatizo mke wangu ana mimba changa, je kuendelea kumnyonyesha mtoto kuna madhara yoyote?
Mke wangu ana mtoto wa miezi 8,ni kwamba bado ananyonya,but imetokea tatizo mke wangu ana mimba changa, je kuendelea kumnyonyesha mtoto kuna madhara yoyote?
Hongera..unajua tunasema inaleta madhara lakini mimi kutokana na experience yangu sijawahi kuiona pia nilinyonyesha mtoto mpka mwaka na miezi kumi..nikamwachisha nikiwa na ujauzito wa 3month..lakini kuna mtu nilimuona ananyonyesha mtoto akiwa mdogo hana ata 1yr na yeye ana mimba ya 30wks .nikamuuliza akanijibu doctor kasema hakuna tatizo..ebu cheki na gyno umsikie pia uliza na doctor wa watoto..utapata jibu zuri..