kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Ukisikia ultrasound, xray, CT SCAN, MRI, ndo hao watu. Ila vyuo vya diploma Tanzania kwa sasa ni Muhimbili, Bugando, na Benjamin Mkapa, labda vyuo vya certificateWakuu samahani mdogo wangu kachaguliwa diploma ya radiography chuo cha kikatoliki cha sengerema hii kozi ikoje maana wamechaguliwa 20 tu ni kozi salama au kadandia mtumbwi wa vibwengo, Mwenye uelewa nayo msaada
mmmh hivi wana soko kweli bongo hao maana si hosptali chache zina hizo mavitu au nimshauri akahamie C.O au PharmacyUkisikia ultrasound, xray, CT SCAN, MRI, ndo hao watu
Soko lipo sana tu. Tena ni wachache kuliko hao c.o na pharmacy. Ni rahisi kwao kupata kisehemu cha kupiga kazi hata kabla ya kumalizammmh hivi wana soko kweli bongo hao maana si hosptali chache zina hizo mavitu au nimshauri akahamie C.O au Pharmacy
Mkuu vyuo vya radiography kwa level ya diploma sikuiz vimeongezeka sanaUkisikia ultrasound, xray, CT SCAN, MRI, ndo hao watu. Ila vyuo vya diploma Tanzania kwa sasa ni Muhimbili, Bugando, na Benjamin Mkapa, labda vyuo vya certificate
Aendelee nayo hio, bado watu wachache sana ukilinganisha na hizo kozi ulizotaja hapo.mmmh hivi wana soko kweli bongo hao maana si hosptali chache zina hizo mavitu au nimshauri akahamie C.O au Pharmacy
ok sawa mkuuAendelee nayo hio, bado watu wachache sana ukilinganisha na hizo kozi ulizotaja hapo.
ok sawa ngoja nimuache dogo asomeKozi nzuri hiyo
sawa mkuu nimekuelewa shukraniC.O so course ya kumshauri mtoto asome mbakishe huko huko