Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Mkuu umemkatia utepe...kama ka milembe fulani hivi kanakuhusu..😅
kaka taratibu asije akaanza kurusha vyupa tutachanika nyuso iwe tabu!..😃Mkuu umemkatia utepe...
Mtumie na nauli aende pale idodomya
Kaweka na Uzi kabisa kuhakikisha kama Kuna wengine pia au yupo peke yake? 🤣🤣🤣kaka taratibu asije akaanza kurusha vyupa tutachanika nyuso iwe tabu!..😃
hahahahahKaweka Uzi kuhakikisha kama Kuna wengine pia? 🤣🤣🤣
mi simo...Kaweka na Uzi kabisa kuhakikisha kama Kuna wengine pia au yupo peke yake? 🤣🤣🤣
ndiyo nini mzee?Hallucinations hizo.
Acha hizoo. Yaani Wewe ndio umeanzisba vita ya nyembe halafu unakimbilia pangami simo...
mkuu malizananae...🤣Acha hizoo. Yaani Wewe ndio umeanzisba vita ya nyembe halafu unakimbilia panga
Halluci - harusindiyo nini mzee?
🤣 sasa itabidi muende wote kumbe nawe ndo hivi!Halluci - harusi
Nations - mataifa,
so, Hallucinations means harusi za mataifa.
Mimi nimeagwa Jana tu. Walisema nimepona. Nimeshashona na MA KENZY🤣 sasa itabidi muende wote kumbe nawe ndo hivi!
tena atangulie🤣 sasa itabidi muende wote kumbe nawe ndo hivi!
Nyie watu wa jf haya mueleweshweje hamtaki kuelewa!sijatambua ninaishi katika reality au just thinking zone,ni kwamba kuna kitabia cha kuamka saa 8 usiku/6 au 9 sababu ikiwa ni ndoto iwe mbaya au nzuri huwa naamka..bahati mbaya sana ndoto za sasa zimejenga alert ya kunipa hofu something bad kinaendelea katika spirutial zone mfano jana na juzi nimeota nakula ndotoni na chakula kikubwa ni pilau sometimes naota ndoto labda naswali lakini nikiamka nakuta kuna actions nafanya kama za swala najihisi kuwa hicho kitu nimekifanya ndotoni kabisa na action zake nikiamka naziendeleza.
kwa wenye uelewa naomba tujuzane.