This
This is true nimepitia hali hiyoMungu anakuamsha uombe...maana Kuna kitu.
Japo uwa inapita hio hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is true nimepitia hali hiyoMungu anakuamsha uombe...maana Kuna kitu.
Japo uwa inapita hio hali.
ahsante kwa msaadaThis
This is true nimepitia hali hiyo
kivipiNyie watu wa jf haya mueleweshweje hamtaki kuelewa!
ongozaneni hili ni jambo lenu!tena atangulie
Daahohoo! mbona wametuletea nyumbu mtaani...🤣
Tupelekeongozaneni hili ni jambo lenu!
never!Tupeleke
kama uchizi yeye ndiyo namba 1Tupeleke
kauginjwa kenu kanazidi tu mi nawaachia madaktari kabla hamjaanza kung'ata watu hapa!
Uzi ulikuwa mzuri tu ila ukauharibu. Ila we jamaakauginjwa kenu kanazidi tu mi nawaachia madaktari kabla hamjaanza kung'ata watu hapa!
tayari tumeishaizoea hii hali katika majukwaa haya.Uzi ulikuwa mzuri tu ila ukauharibu. Ila we jamaa
I expected hoja nzito hapa but kilichotokea, first comment tu ni kituko. The rest kilichojadiliwa ni hiyo commenttayari tumeishaizoea hii hali katika majukwaa haya.
form 4 leaver wamejaaa/vitoto vya 2000
Una uhakika unakula chakula cha kutosha? Kam ndio ni mlo kamili. ? Hizo ni dalili za utapia mlo au kulala chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha,au shuka hufui mara kwa mara. We kuwa msafi kula msosi wa kutosha (sio ulafi) omba lala.sijatambua ninaishi katika reality au just thinking zone,ni kwamba kuna kitabia cha kuamka saa 8 usiku/6 au 9 sababu ikiwa ni ndoto iwe mbaya au nzuri huwa naamka..bahati mbaya sana ndoto za sasa zimejenga alert ya kunipa hofu something bad kinaendelea katika spirutial zone mfano jana na juzi nimeota nakula ndotoni na chakula kikubwa ni pilau sometimes naota ndoto labda naswali lakini nikiamka nakuta kuna actions nafanya kama za swala najihisi kuwa hicho kitu nimekifanya ndotoni kabisa na action zake nikiamka naziendeleza.
kwa wenye uelewa naomba tujuzane.
Umekosa cha kumshauri?kama ka milembe fulani hivi kanakuhusu..😅
nimepata cha kumtania!Umekosa cha kumshauri?
Kwani hujawahi kuota unakojoa na ukikurupuka unakuta umeshaumwaga?sijatambua ninaishi katika reality au just thinking zone,ni kwamba kuna kitabia cha kuamka saa 8 usiku/6 au 9 sababu ikiwa ni ndoto iwe mbaya au nzuri huwa naamka..bahati mbaya sana ndoto za sasa zimejenga alert ya kunipa hofu something bad kinaendelea katika spirutial zone mfano jana na juzi nimeota nakula ndotoni na chakula kikubwa ni pilau sometimes naota ndoto labda naswali lakini nikiamka nakuta kuna actions nafanya kama za swala najihisi kuwa hicho kitu nimekifanya ndotoni kabisa na action zake nikiamka naziendeleza.
kwa wenye uelewa naomba tujuzane.