Naomba kueleweshwa maana ya ndoto hizi?

Naomba kueleweshwa maana ya ndoto hizi?

sijatambua ninaishi katika reality au just thinking zone,ni kwamba kuna kitabia cha kuamka saa 8 usiku/6 au 9 sababu ikiwa ni ndoto iwe mbaya au nzuri huwa naamka..bahati mbaya sana ndoto za sasa zimejenga alert ya kunipa hofu something bad kinaendelea katika spirutial zone mfano jana na juzi nimeota nakula ndotoni na chakula kikubwa ni pilau sometimes naota ndoto labda naswali lakini nikiamka nakuta kuna actions nafanya kama za swala najihisi kuwa hicho kitu nimekifanya ndotoni kabisa na action zake nikiamka naziendeleza.

kwa wenye uelewa naomba tujuzane.
Una uhakika unakula chakula cha kutosha? Kam ndio ni mlo kamili. ? Hizo ni dalili za utapia mlo au kulala chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha,au shuka hufui mara kwa mara. We kuwa msafi kula msosi wa kutosha (sio ulafi) omba lala.
 
sijatambua ninaishi katika reality au just thinking zone,ni kwamba kuna kitabia cha kuamka saa 8 usiku/6 au 9 sababu ikiwa ni ndoto iwe mbaya au nzuri huwa naamka..bahati mbaya sana ndoto za sasa zimejenga alert ya kunipa hofu something bad kinaendelea katika spirutial zone mfano jana na juzi nimeota nakula ndotoni na chakula kikubwa ni pilau sometimes naota ndoto labda naswali lakini nikiamka nakuta kuna actions nafanya kama za swala najihisi kuwa hicho kitu nimekifanya ndotoni kabisa na action zake nikiamka naziendeleza.

kwa wenye uelewa naomba tujuzane.
Kwani hujawahi kuota unakojoa na ukikurupuka unakuta umeshaumwaga?

Lakini pia yapo matukio hutokea ndotoni. Mfano unaota mtu anakufinya na mazingira ya ndoto kabisa unayaona. Ukishituka unakuta kweli kuna mtu alikufinya au kukufanyia jambo baya.
 
Back
Top Bottom