Naomba kuelimishwa, hivi ni kwa namna zipi serikali inawanyanyasa waislamu

Naomba kuelimishwa, hivi ni kwa namna zipi serikali inawanyanyasa waislamu

kimanu

Senior Member
Joined
May 31, 2013
Posts
196
Reaction score
64
Naomba kuelimishwa, hivi ni
kwa namna zipi serikali ina
wanyanyasa waislamu.
Cuz sielewi. mi naoma Serikali anatunyanyasa wote "equally"....cuz kama mafisadi wanaiba hela zetu wooote, mikataba mibovu inatuathiri wote, tindikali tunamwagiwa wote na watalii pia, risasi na mabomu ni kwa cdm na wengine wote( ccm tu ndo hili haiwahusu lol)..

Naomba kujua zaidi
 
Funguka zaidi, ina wanyanyasaje wakati huo huo unazitaja adha zinazo fanywa na Serikali zinatuathili wote? Kumbuka 8/8 sikukuu ya kitaifa ili hamishiwa 7/8 ili kupisha sherehe za Eid ambazo na zenyewe zikala chenga zika angukia 9-10/6! Hamasisha wenzako watano mwaka 2015 wasikipigie kura CCM bali wapigie CDM!
 
Naomba kuelimishwa, hivi ni
kwa namna zipi serikali ina
wanyanyasa waislamu.
Cuz sielewi. mi naoma Serikali anatunyanyasa wote "equally"....cuz kama mafisadi wanaiba hela zetu wooote, mikataba mibovu inatuathiri wote, tindikali tunamwagiwa wote na watalii pia, risasi na mabomu ni kwa cdm na wengine wote( ccm tu ndo hili haiwahusu lol)..

Naomba kujua zaidi
Mengi tu!
Mfano pato la Taifa ni Serikali tu na Kanisa ndio waliojifungia peke yao na kuhakikisha mabilioni ya pesa za walipa kodi zikilinufaisha Kanisa peke yake.
 
Mengi tu!
Mfano pato la Taifa ni Serikali tu na Kanisa ndio waliojifungia peke yao na kuhakikisha mabilioni ya pesa za walipa kodi zikilinufaisha Kanisa peke yake.

Mkuu kuna mengi tu zaidi ya hilo. Kwanza ukiangalia orodha ya wauza dawa za kulevya imejaa waislamu wakristo ni wachache sana. halafu hata kwenye baraza na maakofu hakuna mwislamu hata mmoja.
 
Mkuu kuna mengi tu zaidi ya hilo. Kwanza ukiangalia orodha ya wauza dawa za kulevya imejaa waislamu wakristo ni wachache sana. halafu hata kwenye baraza na maakofu hakuna mwislamu hata mmoja.

na hata wale maoskofu wanotuhumiwa kuuza sembe nao ni waislaam
 
Mengi tu!
Mfano pato la Taifa ni Serikali tu na Kanisa ndio waliojifungia peke yao na kuhakikisha mabilioni ya pesa za walipa kodi zikilinufaisha Kanisa peke yake.

Mbulula elim madrasa
 
Mkuu kuna mengi tu zaidi ya hilo. Kwanza ukiangalia orodha ya wauza dawa za kulevya imejaa waislamu wakristo ni wachache sana.
Sijui yule mama pale NECTA atasemaje sasa!

Maanake hawa ndio aliowahujumu wakakosa elimu matokeo yake ndiyo hayo sasa.
 
Sijui yule mama pale NECTA atasemaje sasa!

Maanake hawa ndio aliowahujumu wakakosa elimu matokeo yake ndiyo hayo sasa.

Mkuu hivi NECTA kwenye mchakato wao wa kusahihisha mitihani wanakuwa na majina ya watu au namba?
 
Sijui yule mama pale NECTA atasemaje sasa!

Maanake hawa ndio aliowahujumu wakakosa elimu matokeo yake ndiyo hayo sasa.


Toka mwarabu alete Uislam Tanganyika karne ya 7 huyo mama Ndalichako ndiye katibu wa NECTA?

Nioneshe shule moja aliyojenga mwarabu kwa miaka zaidi ya 1000 aliyokaa Tanganyika nami nitakwambia kwa nn waislam bado wako nyuma kielimu.
 
Bora Uislam ungeletwa Tanganyika na Mturuki kuliko mwarabu....labda leo tungekuwa na Feza boys 1000!
 
Mengi tu!
Mfano pato la Taifa ni Serikali tu na Kanisa ndio waliojifungia peke yao na kuhakikisha mabilioni ya pesa za walipa kodi zikilinufaisha Kanisa peke yake.

hilo kanisa linawagawia waumini wake mabilioni au mbona sielewi!!
 
Mkuu hivi NECTA kwenye mchakato wao wa kusahihisha mitihani wanakuwa na majina ya watu au namba?
Huhitaji majina kujua kuwa Shule zilizopo Mtwara, Lindi, Tanga,Kigoma, Tabora, Ilala zina wanafunzi wengi Waislamu.

Huhitaji majina kuvujisha mitihani katika shule za Kikatoliki, huhitaji majina wakati umeshaorodhesha Wakatoliki wangapi wapo shule zipi, huhitaji majina wakati wa kwenda kujifungia na mitihani kwa miezi baada ya kusahihishwa...
 
hilo kanisa linawagawia waumini wake mabilioni au mbona sielewi!!
Ninamaanisha MoU! Serikali inalipa Kanisa mabilioni ya pesa kila mwaka kupitia MoU.

Au unamaanisha kuwa hata waumini wa kawaida wa Kanisa hawafaidiki na hayo mabilioni ya pesa za serikali
zinazokwenda Kanisani kila mwaka?
 
Kama unaona wakristo wanafaidi mahela..HAMIA usije kufa maskini www.hamiaUKRISTO.com
 
ama kweli thread hii imenichekesha zaidi ya nilizopata kuziona kule jukwaa la jokes!
 
Mkuu kuna mengi tu zaidi ya hilo. Kwanza ukiangalia orodha ya wauza dawa za kulevya imejaa waislamu wakristo ni wachache sana. halafu hata kwenye baraza na maakofu hakuna mwislamu hata mmoja.
imebidi nicheke na niwaambie kuwa nimecheka sana, Yaaani kweli JF ni burudani tosha.
 
Mkuu kuna mengi tu zaidi ya hilo. Kwanza ukiangalia orodha ya wauza dawa za kulevya imejaa waislamu wakristo ni wachache sana. halafu hata kwenye baraza na maakofu hakuna mwislamu hata mmoja.

Nimependa hili jibu mkuu.
 
Back
Top Bottom