Naomba kuelimishwa ni kwanini Makamu wa Rais Samia hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa ya kifo cha Hayati Dkt. Magufuli?

Naomba kuelimishwa ni kwanini Makamu wa Rais Samia hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa ya kifo cha Hayati Dkt. Magufuli?

Acha dharau.muombe Mungu akupe hekima ndani ya moyo wako.
Hata hivyo, pamoja na katiba kumbeba ila walijua fika hana uwezo.... na ndo hiki tunachokiona leo.

Hivyo walijua kabisa ni garasa ndiyo maana ulitokea huo mzozo kabla ya kuamua kukubaliana na hiyo mnayoita katiba.

Je, umewahi kujiuliza kwanini hao wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama waliomweka hapo wote aliwafurusha?
 
Kipi kibaya nilichoandika katika andiko langu?.mimi nimeombwa kuelimishwa.sasa badala ya kueleza wewe unaanza vitisho.wewe huwezi na hufai kuwa kiongozi kabisa.
Lucas Mimi Si chawa mwenzio,

Nimekushauri pima ulichokiandika kabla ya kupeleka public,

HOJA Yako unalazimisha watu waulize maswali ambayo majibu yake kamwe hayawezi kupatikana Kwa sababu maalum.

Pima uzito wa kinywa chako kabla hujaongea Lucas.
 
Sio mara ya kwanza na sio ajabu sheria kupindishwa na wala haitakuwa mwisho.

Boss ana moyo wa Upendo na wa kusamehe.

Hakuna faida yoyote inayopatikana kwenye Kisasi.

Madaraka Sio sababu ya kuumiza wengine.

Mwisho mchawi mpe mwanao akulelee.
 
Hata hivyo, pamoja na katiba kumbeba ila walijua fika hana uwezo.... na ndo hiki tunachokiona leo.

Hivyo walijua kabisa ni garasa ndiyo maana ulitokea huo mzozo kabla ya kuamua kukubaliana na hiyo mnayoita katiba.

Je, umewahi kujiuliza kwanini hao wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama waliomweka hapo wote aliwafurusha?
Rais Samia Ni Akili kubwa,ni kiongozi mwenye maono,upeo na uzalendo wa hali ya juu sana. Ni kiongozi mchapa kazi sana na ndio maana hata jenerali Venance Mabeyo amempongeza kwa ulimi wake mwenyewe.
 
Lucas Mimi Si chawa mwenzio,

Nimekushauri pima ulichokiandika kabla ya kupeleka public,

HOJA Yako unalazimisha watu waulize maswali ambayo majibu yake kamwe hayawezi kupatikana Kwa sababu maalum.

Pima uzito wa kinywa chako kabla hujaongea Lucas.
Kama hoja imekuzidi kimo cha akili yako ni vyema na busara ukakaa kimya tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeisikiliza mara mbili mbili video ya mkuu wa majeshi mstaafu jenerali Venance Mabeyo aliyekuwa ndiye mkuu wa majeshi wakati wa kifo cha hayati Dkt Magufuli. Nimemsikiliza neno kwa neno na mstari kwa mstari na kufanya uchambuzi wa kina sana kichwani mwangu juu ya mambo mbalimbali ambayo viongozi wetu hasa wa kisiasa walikuwa nayo vichwani mwao, kila mtu alikuwa na lake kichwani mwake na matamanio yake na kiu yake baada ya kifo cha Hayati Dkt Magufuli.

Nitaanza na mara baada ya kifo juu ya nani awe mtu wa kwanza kupewa taarifa. Hapa tumeelezwa na mkuu wa majeshi kuwa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi ndio viongozi waliokuwa wa kwanza kupewa taarifa ya kifo cha Mpendwa wetu Hayati Dkt Magufuli. Sasa swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa kwanini waliitwa viongozi hawa kupewa taarifa za kifo cha Rais ambao kiwadhifa ni wadogo kwa makamu wa Rais? Pili kama ilionekana Tanga ni mbali sana kwa makamu wa Rais kufika Dar na badala yake kuamua kuwaita wa Dodoma, je ni kwanini Makamu wa Rais asingetumiwa usafiri wa ndege au helikopta kurejea haraka sanaaa Dar es Salaam tangia siku moja ya kabla ya kifo chake hayati Dkt Magufuli tokea pale alipomwambia mkuu wa majeshi kuwa yeye hawezi kupona na awaamuru madaktari wampeleke kwao Chato ili akafie huko?

Kwanini pia mkuu wa Majeshi alipotuma gari na dereva kuwaita Kardinali Pengo pamoja na paroko Makubi kuja kumfanyia maombi hayati dkt Magufuli asingetuma usafiri wa haraka kwenda mkoani Tanga kumrejesha Makamu wa Rais Dar ili awe karibu na asiendelee na ziara mkoani Tanga? Kwanini pia Makamu wa Rais alipangiwa na aliendelea na ziara wakati kipindi Rais wake akiwa mahututi kitandani? Kwanini hakupewa taarifa za mapema? Mfumo wa taarifa serikalini upoje? Inakuwaje makamu wa Rais akose kuwa mtu wa kwanza kuwa na taarifa ya kifo cha Rais wake halafu aende apewe waziri mkuu pamoja na katibu mkuu kiongozi ambao kikatiba hawana hata mamlaka ya kutangaza kifo cha Rais?

Hamuoni hii jambo lilimdogesha Makamu wa Rais? Hamuoni hili jambo liliwapa nguvu kubwa watu ambao hawakustahili kikatiba? Kwa sababu nguvu nayoizungumzia ni ile iliyoelezwa katika katiba kuwa akitoka Rais nani anafuata kimamlaka. Nani alipanga ziara ya Mheshimiwa Makamu wa Rais kwenda Tanga? Je makamu wa Rais alikuwa anafichwa taarifa nyingi za Rais wake ikiwepo hali yake ya afya? Kama jibu ni ndio kwanini ilikuwa hivi? Je pale Rais alipokuwa hayupo vyema kiafya na amezidiwa kama ilivyokuwa mpaka kifo, je mkuu wa majeshi kwa niaba ya wakuu wenzake wa vyombo vya ulinzi na usalama kwanini alikuwa hampatii taarifa Makamu wa Rais? Kama alikuwa anampatia taarifa makamu wa Rais naamini basi hata ziara ya Tanga ingekatizwa Haraka Sana na kurejea Dar ili kujiandaa kwa lolote lile ambalo lingetokea na hivyo kuutangazia umma wa Watanzania akiwa hapa hapa Dar.

Kwa sababu katiba ipo wazi kabisa kuwa anapokuwa amefariki Dunia Rais anayetakiwa kutangaza kifo hicho ni makamu wa Rais na hivyo huyu aliyetajwa katika katiba ilipaswa awepo karibu hapa hapa Dar, na ikiwezekana pembeni kabisa ya kitanda cha Rais wake katika dakika za mwisho za uhai wake mpaka anapokata roho kama walivyokuwepo viongozi hao watatu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Hapo ndipo sasa majadiliano yangeanza kufanyika nani sasa wapewe taarifa zaidi, ambapo ndipo sasa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi wangeitwa haraka sana kuja Dar ili mipango mingine ya uratibu wa taarifa iendelee kama ilivyokuwa kumpa taarifa mke wa marehemu pamoja na kutuma usafiri kwenda kumfuata mama mzazi wa marehemu kule Chato kuja Dar.

Pili katika maelezo ya jenerali Venance Mabeyo ukimsikiliza kwa umakini kabisa unagundua waziwazi bila kutumia akili kubwa wala elimu kubwa, kuwa kuna watu wenye nia ovu walitaka kupindisha katiba na matakwa ya katiba juu ya kukabidhiwa na kuapishwa kuwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Ndilo maana kuna mahali wengine wakatoa ushauri wa kupotosha na wenye nia ovu kusema kuwa tupo kwenye msiba kwa hiyo baadhi ya taratibu zisifanyike. Lakini jenerali Venance Mabeyo akawaambia wazi na kwa ujasiri kuwa ni lazima taratibu zote zifanyike katika kumuapisha maana zisipofanyika basi jeshi halitamtambua Rais.

Na hapo inanipa jibu kuwa waliokuwa wanashauri haya wali kuwa na malengo yao, kuwa baadhi ya taratibu zisipofanyika basi waje watumie mwanya huo kutimiza malengo yao ovu na yenye kuleta taharuki hapa nchini pengine hata kuhatarisha usalama wa Taifa. Kwa sababu katiba yetu ipo wazi kabisa juu ya nini kifanyike pale Rais aliyepo madarakani anapofariki Dunia.

Kwa hiyo ni Mungu aliamua kulivusha salama Taifa letu katika wakati mgumu ambao kuna baadhi ya watu pengine waliingiwa na mioyo ya tamaa ya kutaka kutimiza haja za mioyo yao yakutaka kutwaa madaraka kinyume na katiba inavyosema.

Watanzania wote hatuna budi kusimama kwa pamoja kumpongeza kwa dhati kabisa jenerali Venance Mabeyo kwa ujasiri wake ana uzalendo wa kuamua kusimamia katiba na kuitii na kuiheshimu kuhakikisha kuwa inafuatwa bila kupindishwa na mtu yeyote yule kwa maslahi yake binafsi. Japo naamini ametumia hekima, busara na uzalendo mkubwa sana. Maana naamini kifua chake kimebeba makubwa moyoni yaliyotokea na yaliyotaka kutokea na kufanyika baada ya kifo cha hayati Mwalimu Dkt John Pombe Joseph Magufuli. Kwa sababu za kiusalama na kimaadili, naamini hawezi kuyasema mpaka anaingia kaburini. Siri inabaki kwake na Mungu wake.

Somo hapa ni kuwa ukiwa Rais wa nchi basi kosea vyote lakini usikosee wala kufanya makosa ya kuteua mkuu wa majeshi. Teua mkuu wa majeshi mzalendo, mwenye utulivu wa akili na moyo, mwenye upendo na aliyetayari kuifia nchi yake, aliye tayari kuilinda katiba kwa jasho na damu. Teua mtu mwenye utimamu wa akili na mwili, mwenye busara, hekima, utulivu, ukomavu wa akili asiye mihemuko na tamaa ya madaraka wala pesa wala vyeo wala nini. Teua mtu anayewapenda Watanzania wote bila kujali ukabila, udini, ukanda wala jinsia ya mtu.

Kwa hakika Jenerali Venance Mabeyo ataingia katika kitabu cha majenerali wazalendo wa Taifa letu na waliolivusha Taifa letu katika kipindi na nyakati za giza na ngumu sana.

Asante Mungu pia kwa kuendelea kuweka mkono wako juu ya Taifa letu. Si kwa ujanja wetu bali ni kwa neema yako. Ndilo maana Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani na utulivu.

Asante Rais Samia kwa kuendelea kuongoza Taifa letu kwa uzalendo na upendo mkubwa. Usikivu wako umepongezwa waziwazi na jenerali Venance Mabeyo mwenyewe kwa ulimi wake. Ni Mungu tu ndiye amekufanya ukawa hapo ulipo, ila kuna watu naamini walitamani usiwe katika kiti hicho. Hata hivyo, naamini kwa uchapa kazi wako na uzalendo wako uliouonesha ndani ya uongozi wako, naamini wanaona aibu na wanajuta huko waliko kwa mawazo mabaya waliyoyawaza juu yako na kuwa na hofu na wewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Naona una hoja 2 hapo
1: kwamba kuna uwezekano kuna hila zimefanyika

2: ni kwamba umedharau hivyo vyeo viwili vya waziri mkuu,mkuu wa majeshi na katibu mkuu kiongozi Basi nkujuze,

Kwa kuanza kukukumbusha ni kwamba katibu mkuu kiongozi ndio kiongozi wa shughuli zote za raisi plus yeye ndo kiongozi wa ulinzi na usalama ndani ya ikulu na hata ni kiongozi ndani ya TISS,

Hivyo katibu mkuu kiongozi anaplay part kubwa hasa kwenye swala la ulinzi na taarifa zote ambazo zinafanywa au ziko mezani kwa raisi mfano kuna kazi fulani ya 2B ambayo haikutangazwa kwa umma ambalo alipewa waziri fulani basi ni lazma KK kiongozi ahakikishe ameliweka sawa mostly kwenye situation kama hizi. Bila kusahau issue za ulinzi na usalama kwa kuhakikisha amesuka taarifa ya taratibu zote za ulinzi na usalama wakati wa msiba na maziko kwa ujumla.

Mkuu wa majeshi yeye ndo kiongozi mkuu wa maswala ya usalama ndani ya nchi yeye ndo mwenye kuhakikisha anazuia au kuvunja kila kiashiria cha uvunjifu wa amani au uhaini kipindi taarifa za kifo cha rais kinatangazwa/kutokea.

Naweza kusema hiki ndo kipindi ambacho jeshi linakuwa allert mno na masuala ya ulinzi hasa uhaini na hapa viongozi wengi wa juu wa jeshi wanakuwa under government surveilance kwa kujua au kutokujua maana nchi inakuwa haiko stable.

waziri mkuu huyu ndiyo mwenye kamati zote za maafa na misiba ya kitaifa na yeye ndo mratibu mkuu wa shughuli hizo habari za msiba ufanyike wapi nan ahudhurie na bajeti ya bei gani iandaliwe huyu ndiyo master minder

Mwisho na isiyo na muhimu ni makamu wa rais huyu yeye huandaliwa njia zote na hao watajwa hapo juu,kuhusu lini na muda gani apewe taarifa na lini aapishwe au kukabidhiwa nchi.

Sababu za kutokuambiwa kwa wakati hasa huwa ni kutotengeneza taharuki ndani ya nchi sababu rais wangu samia kama angeambiwa kuwa mwenzake amefariki sidhani kama angekuwa yule aliyekuwa ziarani vile na kumbuka wakati huo kulikuwa na fukuto la rais yuko wapi rais yuko wapi

Nimalizie kwa kusema kipindi kama hichi huwa ni kipindi kibaya mno kwa maropo ropo au wenye uchu wa madaraka kwani huwa ni kipindi cha lala salama jeshi linakuwa macho na ukiwa kimbele mbele au tishio ndug yangu tunakuaga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeisikiliza mara mbili mbili video ya mkuu wa majeshi mstaafu jenerali Venance Mabeyo aliyekuwa ndiye mkuu wa majeshi wakati wa kifo cha hayati Dkt Magufuli. Nimemsikiliza neno kwa neno na mstari kwa mstari na kufanya uchambuzi wa kina sana kichwani mwangu juu ya mambo mbalimbali ambayo viongozi wetu hasa wa kisiasa walikuwa nayo vichwani mwao, kila mtu alikuwa na lake kichwani mwake na matamanio yake na kiu yake baada ya kifo cha Hayati Dkt Magufuli.

Nitaanza na mara baada ya kifo juu ya nani awe mtu wa kwanza kupewa taarifa. Hapa tumeelezwa na mkuu wa majeshi kuwa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi ndio viongozi waliokuwa wa kwanza kupewa taarifa ya kifo cha Mpendwa wetu Hayati Dkt Magufuli. Sasa swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa kwanini waliitwa viongozi hawa kupewa taarifa za kifo cha Rais ambao kiwadhifa ni wadogo kwa makamu wa Rais? Pili kama ilionekana Tanga ni mbali sana kwa makamu wa Rais kufika Dar na badala yake kuamua kuwaita wa Dodoma, je ni kwanini Makamu wa Rais asingetumiwa usafiri wa ndege au helikopta kurejea haraka sanaaa Dar es Salaam tangia siku moja ya kabla ya kifo chake hayati Dkt Magufuli tokea pale alipomwambia mkuu wa majeshi kuwa yeye hawezi kupona na awaamuru madaktari wampeleke kwao Chato ili akafie huko?

Kwanini pia mkuu wa Majeshi alipotuma gari na dereva kuwaita Kardinali Pengo pamoja na paroko Makubi kuja kumfanyia maombi hayati dkt Magufuli asingetuma usafiri wa haraka kwenda mkoani Tanga kumrejesha Makamu wa Rais Dar ili awe karibu na asiendelee na ziara mkoani Tanga? Kwanini pia Makamu wa Rais alipangiwa na aliendelea na ziara wakati kipindi Rais wake akiwa mahututi kitandani? Kwanini hakupewa taarifa za mapema? Mfumo wa taarifa serikalini upoje? Inakuwaje makamu wa Rais akose kuwa mtu wa kwanza kuwa na taarifa ya kifo cha Rais wake halafu aende apewe waziri mkuu pamoja na katibu mkuu kiongozi ambao kikatiba hawana hata mamlaka ya kutangaza kifo cha Rais?

Hamuoni hii jambo lilimdogesha Makamu wa Rais? Hamuoni hili jambo liliwapa nguvu kubwa watu ambao hawakustahili kikatiba? Kwa sababu nguvu nayoizungumzia ni ile iliyoelezwa katika katiba kuwa akitoka Rais nani anafuata kimamlaka. Nani alipanga ziara ya Mheshimiwa Makamu wa Rais kwenda Tanga? Je makamu wa Rais alikuwa anafichwa taarifa nyingi za Rais wake ikiwepo hali yake ya afya? Kama jibu ni ndio kwanini ilikuwa hivi? Je pale Rais alipokuwa hayupo vyema kiafya na amezidiwa kama ilivyokuwa mpaka kifo, je mkuu wa majeshi kwa niaba ya wakuu wenzake wa vyombo vya ulinzi na usalama kwanini alikuwa hampatii taarifa Makamu wa Rais? Kama alikuwa anampatia taarifa makamu wa Rais naamini basi hata ziara ya Tanga ingekatizwa Haraka Sana na kurejea Dar ili kujiandaa kwa lolote lile ambalo lingetokea na hivyo kuutangazia umma wa Watanzania akiwa hapa hapa Dar.

Kwa sababu katiba ipo wazi kabisa kuwa anapokuwa amefariki Dunia Rais anayetakiwa kutangaza kifo hicho ni makamu wa Rais na hivyo huyu aliyetajwa katika katiba ilipaswa awepo karibu hapa hapa Dar, na ikiwezekana pembeni kabisa ya kitanda cha Rais wake katika dakika za mwisho za uhai wake mpaka anapokata roho kama walivyokuwepo viongozi hao watatu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Hapo ndipo sasa majadiliano yangeanza kufanyika nani sasa wapewe taarifa zaidi, ambapo ndipo sasa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi wangeitwa haraka sana kuja Dar ili mipango mingine ya uratibu wa taarifa iendelee kama ilivyokuwa kumpa taarifa mke wa marehemu pamoja na kutuma usafiri kwenda kumfuata mama mzazi wa marehemu kule Chato kuja Dar.

Pili katika maelezo ya jenerali Venance Mabeyo ukimsikiliza kwa umakini kabisa unagundua waziwazi bila kutumia akili kubwa wala elimu kubwa, kuwa kuna watu wenye nia ovu walitaka kupindisha katiba na matakwa ya katiba juu ya kukabidhiwa na kuapishwa kuwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Ndilo maana kuna mahali wengine wakatoa ushauri wa kupotosha na wenye nia ovu kusema kuwa tupo kwenye msiba kwa hiyo baadhi ya taratibu zisifanyike. Lakini jenerali Venance Mabeyo akawaambia wazi na kwa ujasiri kuwa ni lazima taratibu zote zifanyike katika kumuapisha maana zisipofanyika basi jeshi halitamtambua Rais.

Na hapo inanipa jibu kuwa waliokuwa wanashauri haya wali kuwa na malengo yao, kuwa baadhi ya taratibu zisipofanyika basi waje watumie mwanya huo kutimiza malengo yao ovu na yenye kuleta taharuki hapa nchini pengine hata kuhatarisha usalama wa Taifa. Kwa sababu katiba yetu ipo wazi kabisa juu ya nini kifanyike pale Rais aliyepo madarakani anapofariki Dunia.

Kwa hiyo ni Mungu aliamua kulivusha salama Taifa letu katika wakati mgumu ambao kuna baadhi ya watu pengine waliingiwa na mioyo ya tamaa ya kutaka kutimiza haja za mioyo yao yakutaka kutwaa madaraka kinyume na katiba inavyosema.

Watanzania wote hatuna budi kusimama kwa pamoja kumpongeza kwa dhati kabisa jenerali Venance Mabeyo kwa ujasiri wake ana uzalendo wa kuamua kusimamia katiba na kuitii na kuiheshimu kuhakikisha kuwa inafuatwa bila kupindishwa na mtu yeyote yule kwa maslahi yake binafsi. Japo naamini ametumia hekima, busara na uzalendo mkubwa sana. Maana naamini kifua chake kimebeba makubwa moyoni yaliyotokea na yaliyotaka kutokea na kufanyika baada ya kifo cha hayati Mwalimu Dkt John Pombe Joseph Magufuli. Kwa sababu za kiusalama na kimaadili, naamini hawezi kuyasema mpaka anaingia kaburini. Siri inabaki kwake na Mungu wake.

Somo hapa ni kuwa ukiwa Rais wa nchi basi kosea vyote lakini usikosee wala kufanya makosa ya kuteua mkuu wa majeshi. Teua mkuu wa majeshi mzalendo, mwenye utulivu wa akili na moyo, mwenye upendo na aliyetayari kuifia nchi yake, aliye tayari kuilinda katiba kwa jasho na damu. Teua mtu mwenye utimamu wa akili na mwili, mwenye busara, hekima, utulivu, ukomavu wa akili asiye mihemuko na tamaa ya madaraka wala pesa wala vyeo wala nini. Teua mtu anayewapenda Watanzania wote bila kujali ukabila, udini, ukanda wala jinsia ya mtu.

Kwa hakika Jenerali Venance Mabeyo ataingia katika kitabu cha majenerali wazalendo wa Taifa letu na waliolivusha Taifa letu katika kipindi na nyakati za giza na ngumu sana.

Asante Mungu pia kwa kuendelea kuweka mkono wako juu ya Taifa letu. Si kwa ujanja wetu bali ni kwa neema yako. Ndilo maana Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani na utulivu.

Asante Rais Samia kwa kuendelea kuongoza Taifa letu kwa uzalendo na upendo mkubwa. Usikivu wako umepongezwa waziwazi na jenerali Venance Mabeyo mwenyewe kwa ulimi wake. Ni Mungu tu ndiye amekufanya ukawa hapo ulipo, ila kuna watu naamini walitamani usiwe katika kiti hicho. Hata hivyo, naamini kwa uchapa kazi wako na uzalendo wako uliouonesha ndani ya uongozi wako, naamini wanaona aibu na wanajuta huko waliko kwa mawazo mabaya waliyoyawaza juu yako na kuwa na hofu na wewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Wewe ni mzalendo lakini uchawa was kusifu hovyo hovyo umekufanya usielewe mambo makini makubwa ya nchi hii!!

Nakushauri sana Sana kuanzia leo ACHA kuandika nyuzi za kichawa chawa hazikusaidii;-

Sasa kada mwenzio nakusaidia kimawazo hapo chini;-

1.Kwanini mara baada ya kuapishwa Mama alimuondoa katibu mkuu kiongozi!!?na kumpa ubunge!!?ukijua kwanini utajua kwanini Mama yetu hakujua hayo!!!

2.Kwanini waziri wa ulinzi aliondolewa Kwa kutobadilishiwa wizara wa kipindi hicho!!?


3.kwanini Bado inadhaniwa alionewa huruma Kwa kupewa ubunge na mama huyo aliekua KK!!?

Ukitafuta majibu ya haya utajua kwanini mama yetu hakujua yale!!!

Mwamba de'levis namkubali sana Kwa code zake!!
 
Kulikuwa na kundi la wahuni waliotaka kupora madaraka kutokana na ujinga wao na tayari Wameshaondolewa kwenye system. Mabeyo aliona uwekano wa kuwa mhaini iwapo angekubaliana nao hivyo alikwepa mapema.
 
Naona una hoja 2 hapo
1: kwamba kuna uwezekano kuna hila zimefanyika

2: ni kwamba umedharau hivyo vyeo viwili vya waziri mkuu,mkuu wa majeshi na katibu mkuu kiongozi Basi nkujuze,

Kwa kuanza kukukumbusha ni kwamba katibu mkuu kiongozi ndio kiongozi wa shughuli zote za raisi plus yeye ndo kiongozi wa ulinzi na usalama ndani ya ikulu na hata ni kiongozi ndani ya TISS,

Hivyo katibu mkuu kiongozi anaplay part kubwa hasa kwenye swala la ulinzi na taarifa zote ambazo zinafanywa au ziko mezani kwa raisi mfano kuna kazi fulani ya 2B ambayo haikutangazwa kwa umma ambalo alipewa waziri fulani basi ni lazma KK kiongozi ahakikishe ameliweka sawa mostly kwenye situation kama hizi. Bila kusahau issue za ulinzi na usalama kwa kuhakikisha amesuka taarifa ya taratibu zote za ulinzi na usalama wakati wa msiba na maziko kwa ujumla.

Mkuu wa majeshi yeye ndo kiongozi mkuu wa maswala ya usalama ndani ya nchi yeye ndo mwenye kuhakikisha anazuia au kuvunja kila kiashiria cha uvunjifu wa amani au uhaini kipindi taarifa za kifo cha rais kinatangazwa/kutokea.

Naweza kusema hiki ndo kipindi ambacho jeshi linakuwa allert mno na masuala ya ulinzi hasa uhaini na hapa viongozi wengi wa juu wa jeshi wanakuwa under government surveilance kwa kujua au kutokujua maana nchi inakuwa haiko stable.

waziri mkuu huyu ndiyo mwenye kamati zote za maafa na misiba ya kitaifa na yeye ndo mratibu mkuu wa shughuli hizo habari za msiba ufanyike wapi nan ahudhurie na bajeti ya bei gani iandaliwe huyu ndiyo master minder

Mwisho na isiyo na muhimu ni makamu wa rais huyu yeye huandaliwa njia zote na hao watajwa hapo juu,kuhusu lini na muda gani apewe taarifa na lini aapishwe au kukabidhiwa nchi.

Sababu za kutokuambiwa kwa wakati hasa huwa ni kutotengeneza taharuki ndani ya nchi sababu rais wangu samia kama angeambiwa kuwa mwenzake amefariki sidhani kama angekuwa yule aliyekuwa ziarani vile na kumbuka wakati huo kulikuwa na fukuto la rais yuko wapi rais yuko wapi

Nimalizie kwa kusema kipindi kama hichi huwa ni kipindi kibaya mno kwa maropo ropo au wenye uchu wa madaraka kwani huwa ni kipindi cha lala salama jeshi linakuwa macho na ukiwa kimbele mbele au tishio ndug yangu tunakuaga
Noted

Tulimuaga mmoja!mwenzake akapewa ubunge Hadi Leo ni mkimya sana!!!nae kawekwa kiporo!!
 
Unasema makamu ye ndo apewe taarifa ni ujinga ye atafurahia kwamba atakuwa rahisi kwaiyo atokuwa aware so atulishwa inapotakikana ila atoana mabadiliko
Umeielewa hoja yangu lakini? Mara baada ya kifo kutokea na kuthibitishwa na madaktari ,waliokuwepo hapo walikuwa ni wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wote watatu .sasa kwa akili yako ya kawaida kwa mujibu wa katiba unafikiri nani alipaswa kuwa wa kwanza kupewa taarifa?
 
We jamaa sidhani kama uko sawa upstairs au umekurupuka, wapi Hayati aliambiwa hawezi kupona? nenda kasikilize upya na uelewe, kama unasema umesikiliza na kuelewa na kuchambua na huu ndo uchambuzi wako basi unamatatizo.
Toka lini chawa akawa na uwezo wa kuchambua,yeye anachojua ni kusifia tu basi
 
Wanadai anaetakiwa kupewa taarifa namba 1 ni Katibu Mkuu Kiongozi ndio amjulishe Makamu.

Ila Kwa kesi ya Magufuli Bashiru na genge lake hawakutaka VP apewe taarifa na kama angepewa wangekuwa wameandaa Mpango wa kupindua meza.

Inaonekana Bashiru na genge lake walishurutishwa.

Masisitiza ningekuwa Mimi ndio Samia,hakuna rangi wangeacha kuona kuanzia Katelephone na wengine.Kuwatoa kwenye cheo kina Bashiru haitoshi huku wengine Bado hapana.
Acha uongo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeisikiliza mara mbili mbili video ya mkuu wa majeshi mstaafu jenerali Venance Mabeyo aliyekuwa ndiye mkuu wa majeshi wakati wa kifo cha hayati Dkt Magufuli. Nimemsikiliza neno kwa neno na mstari kwa mstari na kufanya uchambuzi wa kina sana kichwani mwangu juu ya mambo mbalimbali ambayo viongozi wetu hasa wa kisiasa walikuwa nayo vichwani mwao, kila mtu alikuwa na lake kichwani mwake na matamanio yake na kiu yake baada ya kifo cha Hayati Dkt Magufuli.

Nitaanza na mara baada ya kifo juu ya nani awe mtu wa kwanza kupewa taarifa. Hapa tumeelezwa na mkuu wa majeshi kuwa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi ndio viongozi waliokuwa wa kwanza kupewa taarifa ya kifo cha Mpendwa wetu Hayati Dkt Magufuli. Sasa swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa kwanini waliitwa viongozi hawa kupewa taarifa za kifo cha Rais ambao kiwadhifa ni wadogo kwa makamu wa Rais? Pili kama ilionekana Tanga ni mbali sana kwa makamu wa Rais kufika Dar na badala yake kuamua kuwaita wa Dodoma, je ni kwanini Makamu wa Rais asingetumiwa usafiri wa ndege au helikopta kurejea haraka sanaaa Dar es Salaam tangia siku moja ya kabla ya kifo chake hayati Dkt Magufuli tokea pale alipomwambia mkuu wa majeshi kuwa yeye hawezi kupona na awaamuru madaktari wampeleke kwao Chato ili akafie huko?

Kwanini pia mkuu wa Majeshi alipotuma gari na dereva kuwaita Kardinali Pengo pamoja na paroko Makubi kuja kumfanyia maombi hayati dkt Magufuli asingetuma usafiri wa haraka kwenda mkoani Tanga kumrejesha Makamu wa Rais Dar ili awe karibu na asiendelee na ziara mkoani Tanga? Kwanini pia Makamu wa Rais alipangiwa na aliendelea na ziara wakati kipindi Rais wake akiwa mahututi kitandani? Kwanini hakupewa taarifa za mapema? Mfumo wa taarifa serikalini upoje? Inakuwaje makamu wa Rais akose kuwa mtu wa kwanza kuwa na taarifa ya kifo cha Rais wake halafu aende apewe waziri mkuu pamoja na katibu mkuu kiongozi ambao kikatiba hawana hata mamlaka ya kutangaza kifo cha Rais?

Hamuoni hii jambo lilimdogesha Makamu wa Rais? Hamuoni hili jambo liliwapa nguvu kubwa watu ambao hawakustahili kikatiba? Kwa sababu nguvu nayoizungumzia ni ile iliyoelezwa katika katiba kuwa akitoka Rais nani anafuata kimamlaka. Nani alipanga ziara ya Mheshimiwa Makamu wa Rais kwenda Tanga? Je makamu wa Rais alikuwa anafichwa taarifa nyingi za Rais wake ikiwepo hali yake ya afya? Kama jibu ni ndio kwanini ilikuwa hivi? Je pale Rais alipokuwa hayupo vyema kiafya na amezidiwa kama ilivyokuwa mpaka kifo, je mkuu wa majeshi kwa niaba ya wakuu wenzake wa vyombo vya ulinzi na usalama kwanini alikuwa hampatii taarifa Makamu wa Rais? Kama alikuwa anampatia taarifa makamu wa Rais naamini basi hata ziara ya Tanga ingekatizwa Haraka Sana na kurejea Dar ili kujiandaa kwa lolote lile ambalo lingetokea na hivyo kuutangazia umma wa Watanzania akiwa hapa hapa Dar.

Kwa sababu katiba ipo wazi kabisa kuwa anapokuwa amefariki Dunia Rais anayetakiwa kutangaza kifo hicho ni makamu wa Rais na hivyo huyu aliyetajwa katika katiba ilipaswa awepo karibu hapa hapa Dar, na ikiwezekana pembeni kabisa ya kitanda cha Rais wake katika dakika za mwisho za uhai wake mpaka anapokata roho kama walivyokuwepo viongozi hao watatu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Hapo ndipo sasa majadiliano yangeanza kufanyika nani sasa wapewe taarifa zaidi, ambapo ndipo sasa waziri mkuu na katibu mkuu kiongozi wangeitwa haraka sana kuja Dar ili mipango mingine ya uratibu wa taarifa iendelee kama ilivyokuwa kumpa taarifa mke wa marehemu pamoja na kutuma usafiri kwenda kumfuata mama mzazi wa marehemu kule Chato kuja Dar.

Pili katika maelezo ya jenerali Venance Mabeyo ukimsikiliza kwa umakini kabisa unagundua waziwazi bila kutumia akili kubwa wala elimu kubwa, kuwa kuna watu wenye nia ovu walitaka kupindisha katiba na matakwa ya katiba juu ya kukabidhiwa na kuapishwa kuwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Ndilo maana kuna mahali wengine wakatoa ushauri wa kupotosha na wenye nia ovu kusema kuwa tupo kwenye msiba kwa hiyo baadhi ya taratibu zisifanyike. Lakini jenerali Venance Mabeyo akawaambia wazi na kwa ujasiri kuwa ni lazima taratibu zote zifanyike katika kumuapisha maana zisipofanyika basi jeshi halitamtambua Rais.

Na hapo inanipa jibu kuwa waliokuwa wanashauri haya wali kuwa na malengo yao, kuwa baadhi ya taratibu zisipofanyika basi waje watumie mwanya huo kutimiza malengo yao ovu na yenye kuleta taharuki hapa nchini pengine hata kuhatarisha usalama wa Taifa. Kwa sababu katiba yetu ipo wazi kabisa juu ya nini kifanyike pale Rais aliyepo madarakani anapofariki Dunia.

Kwa hiyo ni Mungu aliamua kulivusha salama Taifa letu katika wakati mgumu ambao kuna baadhi ya watu pengine waliingiwa na mioyo ya tamaa ya kutaka kutimiza haja za mioyo yao yakutaka kutwaa madaraka kinyume na katiba inavyosema.

Watanzania wote hatuna budi kusimama kwa pamoja kumpongeza kwa dhati kabisa jenerali Venance Mabeyo kwa ujasiri wake ana uzalendo wa kuamua kusimamia katiba na kuitii na kuiheshimu kuhakikisha kuwa inafuatwa bila kupindishwa na mtu yeyote yule kwa maslahi yake binafsi. Japo naamini ametumia hekima, busara na uzalendo mkubwa sana. Maana naamini kifua chake kimebeba makubwa moyoni yaliyotokea na yaliyotaka kutokea na kufanyika baada ya kifo cha hayati Mwalimu Dkt John Pombe Joseph Magufuli. Kwa sababu za kiusalama na kimaadili, naamini hawezi kuyasema mpaka anaingia kaburini. Siri inabaki kwake na Mungu wake.

Somo hapa ni kuwa ukiwa Rais wa nchi basi kosea vyote lakini usikosee wala kufanya makosa ya kuteua mkuu wa majeshi. Teua mkuu wa majeshi mzalendo, mwenye utulivu wa akili na moyo, mwenye upendo na aliyetayari kuifia nchi yake, aliye tayari kuilinda katiba kwa jasho na damu. Teua mtu mwenye utimamu wa akili na mwili, mwenye busara, hekima, utulivu, ukomavu wa akili asiye mihemuko na tamaa ya madaraka wala pesa wala vyeo wala nini. Teua mtu anayewapenda Watanzania wote bila kujali ukabila, udini, ukanda wala jinsia ya mtu.

Kwa hakika Jenerali Venance Mabeyo ataingia katika kitabu cha majenerali wazalendo wa Taifa letu na waliolivusha Taifa letu katika kipindi na nyakati za giza na ngumu sana.

Asante Mungu pia kwa kuendelea kuweka mkono wako juu ya Taifa letu. Si kwa ujanja wetu bali ni kwa neema yako. Ndilo maana Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani na utulivu.

Asante Rais Samia kwa kuendelea kuongoza Taifa letu kwa uzalendo na upendo mkubwa. Usikivu wako umepongezwa waziwazi na jenerali Venance Mabeyo mwenyewe kwa ulimi wake. Ni Mungu tu ndiye amekufanya ukawa hapo ulipo, ila kuna watu naamini walitamani usiwe katika kiti hicho. Hata hivyo, naamini kwa uchapa kazi wako na uzalendo wako uliouonesha ndani ya uongozi wako, naamini wanaona aibu na wanajuta huko waliko kwa mawazo mabaya waliyoyawaza juu yako na kuwa na hofu na wewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
CCM imekula akili yote.
 
Je kuna miongozo ya utoaji taarifa?, kama ndiyo, ipoje? Yahani nani apewe kwanza, akifuatiwa na nani, mpaka wa mwisho.
 
Title yako inasema kupewa taarifa na si kutangaza ,mtu wa kwanza kupewa taarifa ni Janeth Magufuli yeye ndiye alikuwa Mkewe, mtu wake wa karibu sana kuliko hata huyo samia.
Nafikiri hapa ni vitu viwili tofauti. Kama rais wa nchi Janeth hahusiki na taarifa. Ila kama Magufuli angekuwa mume wa Janeth tu bila kuwa Rais taarifa ya kwanza ingemhusu. Ila pale Magufuli alikuwa anauguzwa na nchi, siyo mambo ya kifamilia yale
 
Je kuna miongozo ya utoaji taarifa?, kama ndiyo, ipoje? Yahani nani apewe kwanza, akifuatiwa na nani, mpaka wa mwisho.
Kwani katiba inasemaje juu ya mlolongo wa vyeo serikalini? Nani anafuata kiwadhifa akitoka Rais? Nani anatangaza kifo cha Rais kwa umma?
 
Nafikiri hapa ni vitu viwili tofauti. Kama rais wa nchi Janeth hahusiki na taarifa. Ila kama Magufuli angekuwa mume wa Janeth tu bila kuwa Rais taarifa ya kwanza ingemhusu. Ila pale Magufuli alikuwa anauguzwa na nchi, siyo mambo ya kifamilia yale
Hata usingemjibu huyo nyumbu maana inaonekana akili yake haipo sawa.
 
Back
Top Bottom