Huwez kupata mimbaHabari wadau wote wa jf, bila kupoteza muda naomba kuelimishwa na kujuzwa kuhusiana na hili nitakalolielezea.
Nimejamiiana bila kutumia Kinga, siku ya pili baada ya kumaliza hedhi, mzunguko wangu huwa unabadilika kwa siku 29,28,na,27 , je ninaweza kuwa nimepata mimba? Naomba mnijuze Sina utaalam was hili tafadhali, natanguliza shukran kwa wachangiaji wote mtajaochangia.
Katika hall nyingine hiii imekaa vipi?Kwa style hii tuendelee kutegemea mimba nyingi zisisotarajiwa. Wadau washajibu kuwa huwezi pata mimba katika hali ya kawaida ya mwenendo wa binadamu.
Kwa hiyo unahisi Mimi Ni mwanaume au?[emoji848] haiwezi akawa msichana anakuja uliza siku zake kama atapata mimba au la itakuwa ni mdau kashafanyaa yake ila sio mbayaa wananzengo kituo cha pili karibu na geti la shule ya msingi nishusheni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau wote wa jf, bila kupoteza muda naomba kuelimishwa na kujuzwa kuhusiana na hili nitakalolielezea.
Nimejamiiana bila kutumia Kinga, siku ya pili baada ya kumaliza hedhi, mzunguko wangu huwa unabadilika kwa siku 29,28,na,27 , je ninaweza kuwa nimepata mimba? Naomba mnijuze sina utaalam wa hili tafadhali, natanguliza shukran kwa wachangiaji wote mtajaochangia.
Shukran mkuuNdani ya siku mbili baada ya kumaliza hedhi ni salama na ni vema ukaepuka kufanya mapenzi mpaka wiki moja na nusu kabla ya siku unayotegemea kwenda hedhi nazo ni salama kwa kiasi kikubwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa Nini mkuu wasema hivyouwezi kupata mimba