Naomba kufafanuliwa kuhusu gari aina ya Honda HR-V

Naomba kufafanuliwa kuhusu gari aina ya Honda HR-V

Feld Marshal Tantawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
655
Reaction score
1,069
Wadau mwenye ufahamu na hii gari atujuze mana nategemea baadaye mambo yakikaa vizuri basi nione mchongo wa kuimiliki. Naona ni gari ya juu halaf cc 1590 tu.

Wazoefu na wadau msaada please.
1589827336165.png
 
Hizo Gari nyingi huwa naziona zinageuzwa kuwa mabanda ya kufugia njiwa..sijui nini tatizo
Mkuu umeshaziona wapi? na ngapi?msipende kuwakatisha tamaa wengine,huenda wewe huna hata baiskel ila ni mpondaji maarufu wa magari.

Mkuu achana na huyu masikini, hizo gari naziona nyingi tu tena ni namba A na B zinadunda tu
 
Mkuu humu watu wengi ni washamba japo wanajiona wamezaliwa mijini lakini awajielewi kwakua wengi ukiwafutilia maisha yao ya kiujanjaunja.

Sasa mkuu ukitaka kujua watu wa jf ovyo onba ata ushauri wa marazi tu!

watakukatisha tamaa ila kama wewe ni mpambana nunua hiyo gari maana mbon zipo tu road mchawi matunzo
 
jaman mimi naoma kama mtu ameomba ushauri tumpe ushauri na sio kumkatisha tamaa, yeye mwenyewe ndo atakaefanya maamuzi

kinachotakiwa ni kumwambia mazuri na mabaya ya hiyo gari kisha muhusika atafanya mahamuzi yeye mwenyewe. tukumbuke ili jukwaa linawasaidia watu wengi sana hivyo tinavyotoa jibu tukumbuke tunawanufaisha watu wengi sana
 
Mkuu humu watu wengi ni washamba japo wanajiona wamezaliwa mijini lakini awajielewi kwakua wengi ukiwafutilia maisha yao ya kiujanjaunja sasa mkuu ukitaka kujua watu wa jf ovyo onba ata ushauri wa marazi tu!watakukatisha tamaa ila kama wewe ni mpambana nunua hiyo gari maana mbon zipo tu road mchawi matunzo
Nashukur sn mkuuu mana nilikua nataka kujua kuhusu uimara wake na vitu vingine ...hope wajuv zaid watakuja na solution...shukran sn kaka
 
Ile ya juu ni new model na hii ni old
 

Attachments

  • BG955000_3ef7bd.JPG
    BG955000_3ef7bd.JPG
    35.1 KB · Views: 10
Mkuu humu watu wengi ni washamba japo wanajiona wamezaliwa mijini lakini awajielewi kwakua wengi ukiwafutilia maisha yao ya kiujanjaunja.

Sasa mkuu ukitaka kujua watu wa jf ovyo onba ata ushauri wa marazi tu!

watakukatisha tamaa ila kama wewe ni mpambana nunua hiyo gari maana mbon zipo tu road mchawi matunzo
Wewe ungekuwa siyo mshamba usingeandika "marazi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida Ni kwamba kila mtu anaweza andika na kujitapa..pita pale sinza madukani road tu utaikuta hiyo chuma imetelekezwa pale..Hadi mafundi jiko wameisusa
Unataka kusema hakuna gari nyingine walizotelekeza watu?Ila hiyo tu? Gari ni matunzo na kuipatia inachotaka kwa wakati tu,ukiwa mmbahili lazima utasema gari flani ni mbovu,wakati mbovu ni wewe
 
Wadau mwenye ufahamu na hii gari atujuze mana nategemea baadaye mambo yakikaa vizuri basi nione mchongo wa kuimiliki. Naona ni gari ya juu halaf cc 1590 tu.

Wazoefu na wadau msaada please.
View attachment 1453652

Habari Za kazi kiongozi
Ni gari nzuri sana ina mazuri zaidi sababu ya kuwa imenyanyuka sana hivyo basi inafaa sana kwa watu wa aina mbalimbali kama wale wanaishi vijijini kwa maana ya wale wanaotumia barabara ya vumbi lakini kumbuka kuwa pindi ununuapo
Zingatia service ya wakati na kuwa makini zaidi kwa muda husika na tena iliyorecomendiwa
Pindi upatapo tatizo achana na mafundi waliosoma magari ya mwaka 70 tafuta mafundi au gereji za hali ya juu zaidi
Kumbuka uanzapo kutumia usishangae kupata bei ya spea ikiwa imechanganya ila ukifunga umefunga na kwa saizi inakuwa shida kujua spea ipi oji maana hata feki utauziwa kwa bei ya oji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Za kazi kiongozi
Ni gari nzuri sana ina mazuri zaidi sababu ya kuwa imenyanyuka sana hivyo basi inafaa sana kwa watu wa aina mbalimbali kama wale wanaishi vijijini kwa maana ya wale wanaotumia barabara ya vumbi lakini kumbuka kuwa pindi ununuapo
Zingatia service ya wakati na kuwa makini zaidi kwa muda husika na tena iliyorecomendiwa
Pindi upatapo tatizo achana na mafundi waliosoma magari ya mwaka 70 tafuta mafundi au gereji za hali ya juu zaidi
Kumbuka uanzapo kutumia usishangae kupata bei ya spea ikiwa imechanganya ila ukifunga umefunga na kwa saizi inakuwa shida kujua spea ipi oji maana hata feki utauziwa kwa bei ya oji


Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sn mkuu,barikiwa sn
 
Back
Top Bottom