Naomba kufaham mambo kadhaa kuhusu ulinzi shirikishi
Joined
Jun 23, 2020
Posts
17
Reaction score
7
Naomba kufaham mambo kadhaa kuhusu ulinzi shirikishi wanaosimama kama walinzi wa msaada jamii

1) Hawa walinzi shirikishi wanareport kwa nani je? Kwenye jeshi la polisi ngazi ya kituo cha polisi au Ofisi yq uhamiaji ?

2)Uhalali wa utendaji kazi wao na jinsi wanavyopatikana hadi kuingia kufanya ulinzi wa Raia na malizao

3) Uwajibishwaji wao ukoje inapotokea wamefanya uzembe na kusababisha hasara ya kupotea kwa Mali ya Raia au kujeruiwa halina yeye amewekwa kwa jukumu hilo na analipwa

4) Je, Wanatambuliwa kwa njia gan kuwa wao ndio usalama wa eneo husika je wanavitambulisho, sare au alama yoyote itakqyomsaidia Raia kujua huyu ni Mlinzi wangu au huyu ni mtu tofauti anataka kunivamia?

Mwisho kabisa sheria inasemaje endapo hawa ulinzi shirikishi wakavunja haki ya faragha ya mtu majirq ya usiku kuanzia saa 6 usiku na kuendelea anatuhumiwa kama mualifu au inasemaje?

Wachambuzi naombeni mawazo na elimu juu ya hili jambo
 
walinzi shirikishi wapi?
wale raia wanaokaa vituo vya polisi au wanaambatana na polisi au
wale shirikishi wa mtaani sungusungu) wanaorandaranda usiku wanaofanya kazi na ofisi za watendaji wa mitaa?
Embu fafanua ni wapi hao
 
Naomba kufaham mambo kadhaa kuhusu ulinzi shirikishi wanaosimama kama walinzi wa msaada jamii

1) Hawa walinzi shirikishi wanareport kwa nani je? Kwenye jeshi la polisi ngazi ya kituo cha polisi au Ofisi yq uhamiaji ?

2)Uhalali wa utendaji kazi wao na jinsi wanavyopatikana hadi kuingia kufanya ulinzi wa Raia na malizao

3) Uwajibishwaji wao ukoje inapotokea wamefanya uzembe na kusababisha hasara ya kupotea kwa Mali ya Raia au kujeruiwa halina yeye amewekwa kwa jukumu hilo na analipwa

4) Je, Wanatambuliwa kwa njia gan kuwa wao ndio usalama wa eneo husika je wanavitambulisho, sare au alama yoyote itakqyomsaidia Raia kujua huyu ni Mlinzi wangu au huyu ni mtu tofauti anataka kunivamia?

Mwisho kabisa sheria inasemaje endapo hawa ulinzi shirikishi wakavunja haki ya faragha ya mtu majirq ya usiku kuanzia saa 6 usiku na kuendelea anatuhumiwa kama mualifu au inasemaje?

Wachambuzi naombeni mawazo na elimu juu ya hili jambo
Daah nafikiri upo kanda ya ziwa, wameniboa umeuliza maswali ya msingi..wanakuja kufanya fujo usiku, na viongozi mpaka mwenyekiti wa mtaa wanacheka tu.

Uhalali wao ni upi?? Wanakera sana karne hii.
 
Daah nafikiri upo kanda ya ziwa, wameniboa umeuliza maswali ya msingi..wanakuja kufanya fujo usiku, na viongozi mpaka mwenyekiti wa mtaa wanacheka tu.

Uhalali wao ni upi?? Wanakera sana karne hii.
Niko Daresalam Tanzania vingunguti katikati kabisa ya jiji la Daresalam jana wamekuja usiku saa 8 usiku uku wakiparza mapanga ukutani na kugonga kwa fujo dirishani mwangu uku wakipiga kelele amken amken kunaibiwa uku nyumba nzima tukatoka tukajua kunamwizi kakamatwa kumbe ni mwenyekiti kaja na iyo timu yake ya hao mgambo nasubiria kuona aliekamatwa kumbe anasema mbona mmewasha taa hadi saivi n kwanini radio inalia hadi saivi mnatqkiwa mzime sheria ndio inasema ivyo kwa kitendo hicho sikuwajibu kitu nikaingia ndani kwanza nisije nikafanya tukio baya bure maana nilikuwa bado ndotoni
 
Niko Daresalam Tanzania vingunguti katikati kabisa ya jiji la Daresalam jana wamekuja usiku saa 8 usiku uku wakiparza mapanga ukutani na kugonga kwa fujo dirishani mwangu uku wakipiga kelele amken amken kunaibiwa uku nyumba nzima tukatoka tukajua kunamwizi kakamatwa kumbe ni mwenyekiti kaja na iyo timu yake ya hao mgambo nasubiria kuona aliekamatwa kumbe anasema mbona mmewasha taa hadi saivi n kwanini radio inalia hadi saivi mnatqkiwa mzime sheria ndio inasema ivyo kwa kitendo hicho sikuwajibu kitu nikaingia ndani kwanza nisije nikafanya tukio baya bure maana nilikuwa bado ndotoni
Vingunguti ni katikati ya jiji? Tuanze hapo kwanza

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
walinzi shirikishi wapi?
wale raia wanaokaa vituo vya polisi au wanaambatana na polisi au
wale shirikishi wa mtaani sungusungu) wanaorandaranda usiku wanaofanya kazi na ofisi za watendaji wa mitaa?
Embu fafanua ni wapi hao
Hao hao wanaofanya kazi na ofisi ya watendaji wa mitaa
 
Vingunguti ni katikati ya jiji? Tuanze hapo kwanza

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Kwani vingunguti iko mbali na kariakoo na posta mzee kwa miguu tu nafika posta je kwa ukaribu huu naweza kusema ni sawa na umbali wa gongolamboto ? Au mbezi? Ebu turudi kwenye mada ya msingi ya sungu sungu nitashukuru kwa mawazo yako kuhusu topic ya sungu sungu
 
Hao hao wanaofanya kazi na ofisi ya watendaji wa mitaa
hawa wanawekwa na sisi wananchi, sisi kuna jamaa walizingua tukawafukuza kwenye kikao cha mtaa.
Sasahivi tumewasimika vijana wapya kila mwezi kila kaya inalipa elfu 2.
wananchi inabidi muwe wakali simnawalipa au nyie huko kwenu hamuwalipi?
Sisi mtaani kwetu wapo friendly ukikutana nao hata usiku mnene ukijitambulisha wakikutambua wanaweza kukusindikiza hadi kwako kwa amani kabisa .
Sometimes wanakuja kwenye bar mtaani usiku mnene wanakuta wanywaji ni sisi wananchi wao wa mtaa wanakuwa wapole hawahamrishi bar ifungwe wanaondoka wanaendelea na mishe zao za ulinzi.
kwa kweli wamesaidia vibaka wamepungua sana majumbani kwetu.
Wananchi inabidi mkawashtaki kwa Mwenyekiti wenu wa mtaa au Polisi kabisa kama wakizingua .
Sisi shirikishi wetu ulizinduliwa na ocd, diwani na mbunge ambaye alichangia Tochi, filimbi na reflector.
Mimi navyojua hao shirikishi wa mtaa wapo chini ya wananchi wa mtaa husika nyie ndio mnatakiwa muwawajibishe wakizingua
 
hawa wanawekwa na sisi wananchi, sisi kuna jamaa walizingua tukawafukuza kwenye kikao cha mtaa.
Sasahivi tumewasimika vijana wapya kila mwezi kila kaya inalipa elfu 2.
wananchi inabidi muwe wakali simnawalipa au nyie huko kwenu hamuwalipi?
Sisi mtaani kwetu wapo friendly ukikutana nao hata usiku mnene ukijitambulisha wakikutambua wanaweza kukusindikiza hadi kwako kwa amani kabisa .
Sometimes wanakuja kwenye bar mtaani usiku mnene wanakuta wanywaji ni sisi wananchi wao wa mtaa wanakuwa wapole hawahamrishi bar ifungwe wanaondoka wanaendelea na mishe zao za ulinzi.
kwa kweli wamesaidia vibaka wamepungua sana majumbani kwetu.
Wananchi inabidi mkawashtaki kwa Mwenyekiti wenu wa mtaa au Polisi kabisa kama wakizingua .
Sisi shirikishi wetu ulizinduliwa na ocd, diwani na mbunge ambaye alichangia Tochi, filimbi na reflector.
Mimi navyojua hao shirikishi wa mtaa wapo chini ya wananchi wa mtaa husika nyie ndio mnatakiwa muwawajibishe wakizingua
Nakushukuru nitalifanyia kazi maana hata izo vurugu wanazifanya na mwenyekiti wa mtaa apo ndio umenipa wazo jipya ni kuwawajibisha kwakweli wako mbele kudai pesa lakini wanavurugu hatar
 
hawa wanawekwa na sisi wananchi, sisi kuna jamaa walizingua tukawafukuza kwenye kikao cha mtaa.
Sasahivi tumewasimika vijana wapya kila mwezi kila kaya inalipa elfu 2.
wananchi inabidi muwe wakali simnawalipa au nyie huko kwenu hamuwalipi?
Sisi mtaani kwetu wapo friendly ukikutana nao hata usiku mnene ukijitambulisha wakikutambua wanaweza kukusindikiza hadi kwako kwa amani kabisa .
Sometimes wanakuja kwenye bar mtaani usiku mnene wanakuta wanywaji ni sisi wananchi wao wa mtaa wanakuwa wapole hawahamrishi bar ifungwe wanaondoka wanaendelea na mishe zao za ulinzi.
kwa kweli wamesaidia vibaka wamepungua sana majumbani kwetu.
Wananchi inabidi mkawashtaki kwa Mwenyekiti wenu wa mtaa au Polisi kabisa kama wakizingua .
Sisi shirikishi wetu ulizinduliwa na ocd, diwani na mbunge ambaye alichangia Tochi, filimbi na reflector.
Mimi navyojua hao shirikishi wa mtaa wapo chini ya wananchi wa mtaa husika nyie ndio mnatakiwa muwawajibishe wakizingua
Ivi malipo ya ulinzi ni kwakila kaya au kwakila chumba maana huku wanacharge kila chumba
 
Back
Top Bottom