Naomba kufahamishwa aina mpya za Migomba

Naomba kufahamishwa aina mpya za Migomba

Karaoke

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
587
Reaction score
1,194
Nimesikia kuna aina mpya za migomba ambayo huzaa mikungu miwili katika mgomba mmoja, kama kuna yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anijulishe, inaitwaje na ni wapi naweza kupata miche yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi panda migomba ya kawaida. Watu mnautafuta utajiri, mtafuga na machatu
 
Daaaa nafikiri mtoa mada anaota yupo usingizini...
 
Nimesikia kuna aina mpya za migomba ambayo huzaa mikungu miwili katika mgomba mmoja, kama kuna yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anijulishe, inaitwaje na ni wapi naweza kupata miche yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kusoma kwangu na kufanya niliyofanya kwa ukweli niandike HAPANA.
Hakuna hiko kitu na tusidanganywe na mitandao pili sera ya nchi yetu hairuhusu kufanya majaribio au ubadilishaji wa tabia za viumbe NI MARUFUKU KUFANYA GMO
 
Back
Top Bottom