Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Wadau naomba kufahamu aina ya kodi ambazo fedha inayowekwa fixed deposit kwenye bank za biashara.
Faida inakatwa kwa asilimia ngapi, kodi ji zipi zinakatwa?
Please help
Faida inakatwa kwa asilimia ngapi, kodi ji zipi zinakatwa?
Please help