Habri wana Jf, naombeni msaada wa kujua clinic nzuri kwa mama mjamzito.
Sijaanza clinic bado, nataka clinic ambayo inakua kama vile ya private doctor yaani nakua naenda kwa apointment...sitaki zile za kujazana hospitali wengii mnapanga foleni.
Kwa anayejua naomba msaada anisaidie kama anajua jina la hospital, hata namba ya simu na jinsi ya kujiunga na hiyo clinic . Pia ninge prefer iyo clinic au hospital ya doctor private iwe inatumia kadi za NHIF.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaanza clinic bado, nataka clinic ambayo inakua kama vile ya private doctor yaani nakua naenda kwa apointment...sitaki zile za kujazana hospitali wengii mnapanga foleni.
Kwa anayejua naomba msaada anisaidie kama anajua jina la hospital, hata namba ya simu na jinsi ya kujiunga na hiyo clinic . Pia ninge prefer iyo clinic au hospital ya doctor private iwe inatumia kadi za NHIF.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app