Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yeah jumba la kijeiefu msingi million 80ππHahahahaha
We unataka jumba la kifahari[emoji126][emoji126][emoji537]
hahahahahaYeah jumba la kijeiefu msingi million 80ππ
Nilivopewa makadirio nikapumzika nayo kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaYeah jumba la kijeiefu msingi million 80[emoji23][emoji23]
Jitahidi uwe tajiri Witty unatuaibisha wanajf wenzioHahahaha
Humu kila mtu tajiri kasoro mimi
Kabisa mkuu, mwenyewe naifeel sana nyumba yangu, japo bado nachechemea mdogo mdogo. Kiukweli nyumba iliyoenda juu inavutia ndani na njeNyumba iliyoenda Juu ni nzuri na ina faida mingi sana, Napenda nyumba za namna hiyo.
Kuweka Taa tu lazima itafutwe ngazi, sio nyumba ukipanda juu ya stuli tu ushafikia Holder..
Mkuu unajenga nyumba nzuri sana sijaiona ila nai feel....
Sawa sawa kabisa mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]Jitahidi uwe tajiri Witty unatuaibisha wanajf wenzio
πππSawa sawa kabisa mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]