Hemedy rashidy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 244
- 147
Habarii, natumaini wote ni wazima,
Naitwa Hemedy mkazii wa kinondonii B Mada yangu ni hivii mimi ni kijana tu ambaye nimemaliza chuo TIA tangu 2014 mpaka sasa siku fanikiwa kupata ajira nikawa nipo mtaanii tu nimekaa sana mtanii hivi sasa muda wote huo namsumbuwa mzee anikopee hata bajajii lakinii wapii juhudii zinashindikana gombana nae sana lakinii siku fanikiwa na mzee wangu sio kwamba uwezo wa kukopa anao sababu anafanya kazii serikalini lakinii mwanae nipo Street tu.
Yeye ana habarii ukimwambia mzee naomba basii japo msingi nikafanye biashara anacho jibu kwamba utaweza wewe kufanya biashara naweza nikakupa halafu tuone utafika wapii hivii serious mzazii unamkatisha tamaa mtoto eti nikikupa cjui utapata utafika nilijiskia vibaya ila nikaona sawa tu haina shida kwa kuwa nipo kwake sawa.
Imagine tangu 2014 mpaka juzi 31/3/2023 ndo anakuja kuniambia ulizia ofisi ambayo inakopesha bajaji twende tukaangalie uweze kano wa kukopa nikamuhitikia sawa haina shidaa.
Ombii langu kuandika uzii huu ni **NI OFISII IPI AMBAYO INATOA MIKOPO YA BAJAJII PIA RIBA YAKE INAKUWA JE PIA KIANZIO UNAANZA NA BEII GANIII SHUKRANII KWA WOTE NASUBIRIII COMMENTS ZENU[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Naitwa Hemedy mkazii wa kinondonii B Mada yangu ni hivii mimi ni kijana tu ambaye nimemaliza chuo TIA tangu 2014 mpaka sasa siku fanikiwa kupata ajira nikawa nipo mtaanii tu nimekaa sana mtanii hivi sasa muda wote huo namsumbuwa mzee anikopee hata bajajii lakinii wapii juhudii zinashindikana gombana nae sana lakinii siku fanikiwa na mzee wangu sio kwamba uwezo wa kukopa anao sababu anafanya kazii serikalini lakinii mwanae nipo Street tu.
Yeye ana habarii ukimwambia mzee naomba basii japo msingi nikafanye biashara anacho jibu kwamba utaweza wewe kufanya biashara naweza nikakupa halafu tuone utafika wapii hivii serious mzazii unamkatisha tamaa mtoto eti nikikupa cjui utapata utafika nilijiskia vibaya ila nikaona sawa tu haina shida kwa kuwa nipo kwake sawa.
Imagine tangu 2014 mpaka juzi 31/3/2023 ndo anakuja kuniambia ulizia ofisi ambayo inakopesha bajaji twende tukaangalie uweze kano wa kukopa nikamuhitikia sawa haina shidaa.
Ombii langu kuandika uzii huu ni **NI OFISII IPI AMBAYO INATOA MIKOPO YA BAJAJII PIA RIBA YAKE INAKUWA JE PIA KIANZIO UNAANZA NA BEII GANIII SHUKRANII KWA WOTE NASUBIRIII COMMENTS ZENU[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]