zingatia ushauri wa mjumbe wa #
pia napanua maelezo tu
-boxer zinasharau mafundi, penda kumpa kazi fundi mwenye uzoefu nazo ma asiwe mbabaishaji hasa linapokuja hitaji la kuchokonoa injini na mfumo wa umeme
-oil ibadilishwe hata kabla ya km 1,000 zilizopendekezwa kutegemeana na mazingira unakoendeshea
-usinunue vipuri vya bei nafuu. fuata ushauri wa fundi unayemwamini. pia na onyo: usimwamini fundi ukampatia pesa akanunue kifaa agunge. nunua mwenyewe ma uhakikishe amekifunga kweli.
-boxer zina madeko, usipende kuwaazima azima vijana wasiojielewa waliozoea king lion, sinoray, houjue n.k wataoburuza na kukuachia skrepa