Naomba kufahamishwa hili

Naomba kufahamishwa hili

abdukarim

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
476
Reaction score
593
Mungu apewe sifa zake na utukufu wake. Nianze kwa kusema hv nlkutana na mwanamke kimapenzi kwa mara ya Kwanzaa tulitumia ndom, sku ilyofuata tukatafnana kavu kavu lakini ilivyopita sku nne nkaanza kuumwa pumbu nikawa nawashwa kana mtu Kaja na pas akawa anaunguza yaani zimebabuka lakini uume nao umekua na vibakabaka vya vidonda, tuseme naumwa kweli.

Je swali langu sku nne zilzopta inawezekana Kama niliambukizwa gono ikawa ishaonekana? Je naweza tumia dawa gani ili kupata nafuu?
 
Soksi haina uhakika wa asilimia zote ila inaondoa STRESS kama hizo na kukupa kujiamini.

Usimuamini msichana hata kwa UTANI, neksti taimu donti seli mechi.
 
Acha mzaha na afya yako,fika Hosp hataka madhara ya kuchelewa KTK magonjwa km hayo ni makubwa na ya kudimu
 
Back
Top Bottom