AKAN
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 991
- 963
Habari za majukumu....
Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake.
Hapa nazungumzia pesa ya kujikimu tu inauotolewa mwanzo wa mkataba...
⚠️Je hii pesa ipo kisheria au ni maamuzi ya mwajiri kutoa au laa..
Natanguliza shukran...
Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake.
Hapa nazungumzia pesa ya kujikimu tu inauotolewa mwanzo wa mkataba...
⚠️Je hii pesa ipo kisheria au ni maamuzi ya mwajiri kutoa au laa..
Natanguliza shukran...