Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake

Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake

AKAN

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
991
Reaction score
963
Habari za majukumu....
Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake.
Hapa nazungumzia pesa ya kujikimu tu inauotolewa mwanzo wa mkataba...
⚠️Je hii pesa ipo kisheria au ni maamuzi ya mwajiri kutoa au laa..
Natanguliza shukran...
659f950da036adcc3b2f0456_jar-with-savings-coins-table (1).jpg
 
Back
Top Bottom