kennedy joshua
Member
- Sep 24, 2014
- 54
- 34
Wanajamvi naomba kujua makadirio ya Skimming hasa bei ya fundi ni sh ngapi kwa nyumba yenye vyumba vitatu, sebule, Dining na jiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si muwe mna search kwanza kabla ya kianzisha Uzi? Mnadhani nyie ndio wa kwanza kua na uhitaji wa skimming humu?Wanajamvi naomba kujua makadirio ya Skimming hasa bei ya fundi ni sh ngapi kwa nyumba yenye vyumba vitatu, sebule, Dining na jiko.
Asante sanaNje na ndani ukimpa laki 8 inapendeza
Kwani nimekulazimisha kujibu ndugu kila mtu ana uhuru wakeSi muwe mna search kwanza kabla ya kianzisha Uzi? Mnadhani nyie ndio wa kwanza kua na uhitaji wa skimming humu?
Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja kwa ndani
Habari za muda ndugu zangu natumai mnaendelea vzr katika kupigania pato la taifa Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja tu kwa ndani...tafadhar nataka niandae bajet yng,,natanguliza shukran za dhat kwa kila atakaejitokeza kunielewesha...Nawasilisha kwenu[emoji120]www.jamiiforums.com
Hauko serious wewe,Kwani nimekulazimisha kujibu ndugu kila mtu ana uhuru wake
Mkuu....Kwani nimekulazimisha kujibu ndugu kila mtu ana uhuru wake
Ndio maana mnaharibiwa kazi.hiyo laki 8 hata ndani pekee haitoshi kwa fundi anaejua kazi.Nje na ndani ukimpa laki 8 inapendeza
Na ww hujalazimishwa mzeeMkuu....
Hata mimi ningekufanyia mchanganuo, lakini nahisi umenikatisha tamaa
Nafikiri sipaswi kukulaumu, tatizo ni maleziNa ww hujalazimishwa mzee
Kama unaona nimeandika utumbo haina haja ya kuzozana unakaa tu kimyaNafikiri sipaswi kukulaumu, tatizo ni malezi
Utumbo ndio nini kijana 😎Kama unaona nimeandika utumbo haina haja ya kuzozana unakaa tu kimya
Oky asante sana700k inafaa
Unazidi kuongeza utumbo. Rudi kwenye uzi nikiiweka link Kuna majibu yako mengi tuKama unaona nimeandika utumbo haina haja ya kuzozana unakaa tu kimya
Bishi sana hili jamaa,Utumbo ndio nini kijana 😎
Kwanza kujenga unajenga wewe, tusichoshane bana🤗
Chief ujenzi unabadilika kila siku....uzi unaousema inawezekana sasa hivi upo nje ya muda.Si muwe mna search kwanza kabla ya kianzisha Uzi? Mnadhani nyie ndio wa kwanza kua na uhitaji wa skimming humu?
Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja kwa ndani
Habari za muda ndugu zangu natumai mnaendelea vzr katika kupigania pato la taifa Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja tu kwa ndani...tafadhar nataka niandae bajet yng,,natanguliza shukran za dhat kwa kila atakaejitokeza kunielewesha...Nawasilisha kwenu[emoji120]www.jamiiforums.com