Naomba kama hutojali please nicheki 0758191544Biashara yangu ninayoifanya
Kwanini usijibu hapa kila mtu ajifunzeNaomba kama hutojali please nicheki 0758191544
Kwanini usijibu hapa kila mtu ajifunze
Ahsante kwa ushauri, but nataka niuze na mashuka, mataulo na mito ya kulalia pia. Na vilinda magodoro pia.Ni biashara nzuri ila inaitaji uvumilivu mwezi mzima uuze godoro may be 3 au 4 kuna maisha hapo zaidi ya kufa njaa.ushauri wakati ukiuza magodoro weka na biashara nyingine hata ya uwakakala sms uuze bidhaa zingine zinazoendana na mambo ya sita kwa sita