Naomba kufahamishwa kuhusu biashara za uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY na TIGO PESA

Naomba kufahamishwa kuhusu biashara za uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY na TIGO PESA

shangwe1

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
448
Reaction score
362
Ndugu zangu nimehangaika kutafuta pesa nikabahatika kuotea kama milion tatu sasa nataka kuendeleza hii milion tatu katika biashara

Lakini nimefikiria katika biashara ya kufanya wazo likanijia nifanye biashara ya M PESA ,,AIRTEL MONEY na TIGO PESA lakini sina uzoefu na hii biashara ..Naomba mwenye uzoefu na hii biashara aniambie na changamoto zake ....

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI ASANTE, japo sio mwandishi mzuri ila naombeni msaada wenu.
 
Ndugu zangu nina nimehangainga kutafuta pesa nikabahatika kuotea kama milion tatu sasa nataka kuendeleza hii milion tatu katika biashara lakini nimefikiria katika biashara ya kufanya wazo likanijia nifanye biashara ya M PESA ,,AIRTEL MONEY na TIGO PESA lakini sina uzoefu na hii biashara ..Naomba mwenye uzoefu na hii biashara aniambie na changamoto zake ....NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI ASANTE.......japo sio mwandishi mzuri ila naombeni msaada wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi upo huku wewe nondo zote zinazohusu hiyo biashara utafute utakusaidia sana.
 
Hii biashara niliwahi kuifanya kipindi fulani, ikanishinda tatizo lake, ni kwenye kamisheni inakuwa ndogo mno!!mfano kwenye miamala yenye thamani ya milioni moja wewe unapata 10, 000!

Hata juzi nimeona wanalalamika kuwa ni kama wanawafanyia wenye makampuni ya simu tu, mfano mtumaji anakatwa 2500, wewe wakala unapata 400!!!labda kama unachanga na biashara nyingine!

Kitu nilichoona hasa mjini kuna biashara za kijinga ambazo haziitaji msingi mkubwa ila faida ni nzuri ila sasa , ukomaee usimuonee aibu mtu, piga kazi tu, hudaiwi leseni,
 
Hii biashara niliwahi kuifanya kipindi fulani, ikanishinda tatizo lake, ni kwenye kamisheni inakuwa ndogo mno!!mfano kwenye miamala yenye thamani ya milioni moja wewe unapata 10, 000!!!Hata juzi nimeona wanalalamika kuwa ni kama wanawafanyia wenye makampuni ya simu tu, mfano mtumaji anakatwa 2500, wewe wakala unapata 400!!!labda kama unachanga na biashara nyingine!!Kitu nilichoona hasa mjini kuna biashara za kijinga ambazo haziitaji msingi mkubwa ila faida ni nzuri ila sasa , ukomaee usimuonee aibu mtu, piga kazi tu, hudaiwi leseni,
Mpe mfano wa hizo Biashara Mkuu..Kujiuza? Au Uuzaji wa Juice ya Miwa au Kuuza popcorn au Kuuza korosho au try to share a detailed informations za kumsaidia muhitaji
 
Mpe mfano wa hizo Biashara Mkuu..Kujiuza? Au Uuzaji wa Juice ya Miwa au Kuuza popcorn au Kuuza korosho au try to share a detailed informations za kumsaidia muhitaji
Kuuza, matunda, biashara ya chipsi, supu ya pweza,
 
Ndugu zangu nimehangaika kutafuta pesa nikabahatika kuotea kama milion tatu sasa nataka kuendeleza hii milion tatu katika biashara

Lakini nimefikiria katika biashara ya kufanya wazo likanijia nifanye biashara ya M PESA ,,AIRTEL MONEY na TIGO PESA lakini sina uzoefu na hii biashara ..Naomba mwenye uzoefu na hii biashara aniambie na changamoto zake ....

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI ASANTE.......japo sio mwandishi mzuri ila naombeni msaada wenu.
KUNA LINE (TILL) ZA KUNUNUA WATU WANAUZA NA ZILE ZA FREE AMBAZO NI KUTOKA VODA, TIGO, AIRTEL ETC HIZI UNAFANYA APPLICATION KUZIPATA

ANDAA TIN, NIDA AU KITAMBULISHO RASMI, LESENI.... NENDA VODASHOP, AIRTEL, TIGO WAHUSIKA WATAKUSAIDIA KUZIPATA

UKITAKA SHORTCUT NUNUA HIZO ZA KUUZWA BEI YAKE INAANZIAGA 80,000, 90,000, 100,000, 120,000, MPAKA 150,000. (THOUGH WENGINE WANASEMA NI RISKY)
 
Hii biashara niliwahi kuifanya kipindi fulani, ikanishinda tatizo lake, ni kwenye kamisheni inakuwa ndogo mno!!mfano kwenye miamala yenye thamani ya milioni moja wewe unapata 10, 000!!!Hata juzi nimeona wanalalamika kuwa ni kama wanawafanyia wenye makampuni ya simu tu, mfano mtumaji anakatwa 2500, wewe wakala unapata 400!!!labda kama unachanga na biashara nyingine!!Kitu nilichoona hasa mjini kuna biashara za kijinga ambazo haziitaji msingi mkubwa ila faida ni nzuri ila sasa , ukomaee usimuonee aibu mtu, piga kazi tu, hudaiwi leseni,
Biashara gani hiyo mkuu ndo tupeane mauzoefu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natanguliza shukran nyingi sana kwa wote watakaonisaidia, sehemu nzuri ninayo, mtaji ninao, wateja wapo inavyoonekana baada ya kuchunguza kwa mda mrefu eneo la tukio,

Nyenzo na kila kitu kipo, isipokuwa tu nashindwa je naanzeje?
Kwa anaejua tafadhali mwongozo

Nb
Tafadhalini ushauri tu
 
Back
Top Bottom