Philemon38
Member
- May 30, 2018
- 74
- 31
Ok nipe mwanga kuhusu hii credit card,Debt Card Haipo Tanzania
Debit card maana yake lazima uwe na hela kwenye akaunti ili uweze kufanya manunuzi. Ni hizi kadi ambazo wengi tunazo za mabenki tofauti,. Credit card ni ile inayokuwezesha kufanya manunuzi kwa mkopo halafu unaanza kulipa taratibu kwa interest. Uwezo wako wa kufanya manunuzi huwa una kiwango cha juu kutegemeana na kipato chako kinachoingia kwenye akaunti kwa mwezi au mwaka. Huduma zote hizi zipo Tanzania. mpaka kulipia huduma ya Uber au hata kubook Air BnB apartment au hoteli nchi yoyote duniani.Debt Card Haipo Tanzania
Jibu mujarabu.... muuliza swali na wengine waelewe tu kuwa, asilimia zaidi ya 80 wanaotumia kadi hapa tanzania ni debit cards... wengi wanaziita credit cards...Debit card maana yake lazima uwe na hela kwenye akaunti ili uweze kufanya manunuzi. Ni hizi kadi ambazo wengi tunazo za mabenki tofauti,. Credit card ni ile inayokuwezesha kufanya manunuzi kwa mkopo halafu unaanza kulipa taratibu kwa interest. Uwezo wako wa kufanya manunuzi huwa una kiwango cha juu kutegemeana na kipato chako kinachoingia kwenye akaunti kwa mwezi au mwaka. Huduma zote hizi zipo Tanzania. mpaka kulipia huduma ya Uber au hata kubook Air BnB apartment au hoteli nchi yoyote duniani.
Ok ,kwa hiyo tofaut hapa ni kuwa credit card inanofanya online purchases sio lazima uwe na KIASI husika cha kitu unachonunua,ila debit card Ni lazima uwe na KIASI husika cha kitu unachonunua,?Debit card maana yake lazima uwe na hela kwenye akaunti ili uweze kufanya manunuzi. Ni hizi kadi ambazo wengi tunazo za mabenki tofauti,. Credit card ni ile inayokuwezesha kufanya manunuzi kwa mkopo halafu unaanza kulipa taratibu kwa interest. Uwezo wako wa kufanya manunuzi huwa una kiwango cha juu kutegemeana na kipato chako kinachoingia kwenye akaunti kwa mwezi au mwaka. Huduma zote hizi zipo Tanzania. mpaka kulipia huduma ya Uber au hata kubook Air BnB apartment au hoteli nchi yoyote duniani.
yes mkuuu. Na moja ya vitu vinavyowatesa middle class kwenye nchi zilizoendelea ni madeni ya credit cardsOk ,kwa hiyo tofaut hapa ni kuwa credit card inanofanya online purchases sio lazima uwe na KIASI husika cha kitu unachonunua,ila debit card Ni lazima uwe na KIASI husika cha kitu unachonunua,?
Jibu mujarabu.... muuliza swali na wengine waelewe tu kuwa, asilimia zaidi ya 80 wanaotumia kadi hapa tanzania ni debit cards... wengi wanaziita credit card
Asante sana kiongoz,na hii inshu ya PayPal vp hii ina uhusiano Gani na hizi debt & credit cardyes mkuuu. Na moja ya vitu vinavyowatesa middle class kwenye nchi zilizoendelea ni madeni ya credit cards
Paypal ni intermediary kwa maana badala ya kuexpose details za card yako kwa merchants au suppliers unatumia paypal kulipa. Lakini paypal ina information zako za card kwa hiyo inenda ku deduct hela kutoka kwenye card yako. Ni safer kuitumia. Maana kuna merchants wengine sio waaminifu kwa maana wanaweza kutumia details za card zako kufanya unauthorized transactions. Yaani wanakulipisha kitu ambacho hukununua. Na pia information za card yako zinaweza kuibiwa zikatumika kufanya manunuzi bila ya wewe kuidhinisha. Kwa kutumia paypal unapunguza risksAsante sana kiongoz,na hii inshu ya PayPal vp hii ina uhusiano Gani na hizi debt & credit card
NBC wanazoDebt Card Haipo Tanzania
Asante sana kwa ufafanuz mzur mkuu,Paypal ni intermediary kwa maana badala ya kuexpose details za card yako kwa merchants au suppliers unatumia paypal kulipa. Lakini paypal ina information zako za card kwa hiyo inenda ku deduct hela kutoka kwenye card yako. Ni safer kuitumia. Maana kuna merchants wengine sio waaminifu kwa maana wanaweza kutumia details za card zako kufanya unauthoarized transaction. Yaani wanakulipisha kitu ambach hukununua. Na pia information za crad yako zinaweza kuibiwa zikatumika kufanya manunuzi bila ya wewe kuidhinisha.
Pia niksha verify ATM card yangu kufanya online purchases ndo tayar naweza kuitumia kama credit or debit card au kuna process za kufanya tofauti na Ku verify?NBC wanazo
Nenda benki kawaambie unataka kufanya manunuzi online. Kama ni CRDB watakupa fomu ujaze. Kisha utaendelea na process za verification baada ya kutumiwa one time access code kwenye simu yako. Sijui utaratibu kwa NBC kama ni the same. Ni vyema ukafika kwenye tawi lolote la karibu nawe wakupe mchakato mzimaPia niksha verify ATM card yangu kufanya online purchases ndo tayar naweza kuitumia kama credit or debit card au kuna process za kufanya tofauti na Ku verify?
Ok thanksNenda benki kawaambie unataka kufanya manunuzi online. Kama ni CRDB watakupa fomu ujaze. Kisha utaendelea na process za verification baada ya kutumiwa one time access code kwenye simu yako. Sijui utaratibu kwa NBC kama ni the same. Ni vyema ukafika kwenye tawi lolote la karibu nawe wakupe mchakato mzima
ivi hii "M-PESA MasterCard" ni debt au credit card mana kuna sehem wananambia hawaitakiPaypal ni intermediary kwa maana badala ya kuexpose details za card yako kwa merchants au suppliers unatumia paypal kulipa. Lakini paypal ina information zako za card kwa hiyo inenda ku deduct hela kutoka kwenye card yako. Ni safer kuitumia. Maana kuna merchants wengine sio waaminifu kwa maana wanaweza kutumia details za card zako kufanya unauthorized transactions. Yaani wanakulipisha kitu ambacho hukununua. Na pia information za card yako zinaweza kuibiwa zikatumika kufanya manunuzi bila ya wewe kuidhinisha. Kwa kutumia paypal unapunguza risks
Sijawahi itumia. Lakini itakuwa ni debit card. Credit card upatikanaji wake kidogo ni mgumu hapa kwetu na benki nyingi local hazina credit cardsivi hii "M-PESA MasterCard" ni debt au credit card mana kuna sehem wananambia hawaitaki
Sent using Jamii Forums mobile app