Naomba kufahamishwa kuhusu Korogwe Teachers College

Naomba kufahamishwa kuhusu Korogwe Teachers College

mkongoraa

Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
73
Reaction score
49
Msaada kwa anaepafahamu au aliyesoma hapo. Yaani nataka kupajua maisha yake. Naweza kwenda na MACBOOK yangu(laptop).
 
kwanza kaka hongera sana,

Pili korogwe wanatoa stashahada (diploma) na sio stashahada ya juu (post graduate). Tatu kuhusu chuo, ni chuo kikongwe na kipo katika mazingira mazuri sana, kati ya vyuo vya ualimu ambavyo ni maarufu korogwe TTC na morogoro TTC ndio vyenyewe, pako poa sana kimazingira wala usiwe na shaka,

ila kiutawala sina uhakka sana, inawezekana mwezi wa pili nikaja kuwafundisha hapa.
 
Shukrani sana brother vitu kama laptop unaruhusiwa kuwa navyo..?
 
yaani kuzuri sana aisee...kuanzia eneo mpaka mabweni.Mazingira yapo rafiki kwa anayesoma.
 
Yap ndugu, haikatazwi, mia mia kijana, kila la heri
 
jaman ada tunalipa au tuliochaguliwa advanced diploma au tunajiripia sis mwenye tarifa anijulishe
 
Shukrani sana brother vitu kama laptop unaruhusiwa kuwa navyo..?

Km ww ni me sikushauri kwanza uende na lptp yako kwa siku za mwanzo. Mana mabweni ya me hayana usalama sana,ni just hall wamefanyia room partition ambayo haifika mpk juu na hivo vyumba havina milango.
Nilikuwa pale 2006-2008..
 
Km ww ni me sikushauri kwanza uende na lptp yako kwa siku za mwanzo. Mana mabweni ya me hayana usalama sana,ni just hall wamefanyia room partition ambayo haifika mpk juu na hivo vyumba havina milango.
Nilikuwa pale 2006-2008..

Nakukumbuka sana we, uligomea kiongozi kutoka mwaka wa kwanza asiwe raisi wakati ule wa wakina kisauti, yule mama alikuwa ndio raisi. halafu ulikuwa na fujo sana kule kwa mgosi. siku hizi mgosi kahama, na yule bwana Shibanda alipata uraisi pale lakini kwa sasa ni marehemu
 
Msaada kwa anaepafahamu au aliyesoma hapo. Yaani nataka kupajua maisha yake. Naweza kwenda na MACBOOK yangu(laptop).

kwa mfano tumefahamu unamacbook kwa mfano ningekwambia umepata sifa kwa mfano unaela nyingi kumbe umepewa tu kwa mfano na demu wako kwani kuna shida kwa mfano utaleta bif? Hata kama nikisema i am sorry kwa mfano? Ila pc utaenda nayo shida ni za kiusalama kwa mfano hutajisikia vizuri mac yako ikaibiwa kwa mfano ukaenda bila nayo uangalie maisha yakoje kwani utapoteza kitu kwa mfano?
 
Km ww ni me sikushauri kwanza uende na lptp yako kwa siku za mwanzo. Mana mabweni ya me hayana usalama sana,ni just hall wamefanyia room partition ambayo haifika mpk juu na hivo vyumba havina milango.
Nilikuwa pale 2006-2008..

shukrani sana....!!
 
kwa mfano tumefahamu unamacbook kwa mfano ningekwambia umepata sifa kwa mfano unaela nyingi kumbe umepewa tu kwa mfano na demu wako kwani kuna shida kwa mfano utaleta bif? Hata kama nikisema i am sorry kwa mfano? Ila pc utaenda nayo shida ni za kiusalama kwa mfano hutajisikia vizuri mac yako ikaibiwa kwa mfano ukaenda bila nayo uangalie maisha yakoje kwani utapoteza kitu kwa mfano?

acha ulimbukeni wewe....unaishi dunia gani man..! Yaani bado unaogopa vitu kama laptop...ni kama simu tu kwa dunia ya sasa acha ushamba wewe.
 
ukipata mabweni ya ujamaa a, mkwawa a au mirambo a yote yana milango kwa kila chumba unless otherwise kuna application inabidi udownload..
 
Nakukumbuka sana we, uligomea kiongozi kutoka mwaka wa kwanza asiwe raisi wakati ule wa wakina kisauti, yule mama alikuwa ndio raisi. halafu ulikuwa na fujo sana kule kwa mgosi. siku hizi mgosi kahama, na yule bwana Shibanda alipata uraisi pale lakini kwa sasa ni marehemu

Hahahaaaa. Mkuu ilikuwa zamani,sasa hv natii sheria bila shuruti. Yule mama si alikuwa anaitwa madam Josephine. Jamaa kumbe alikuja kuvuta,rip my prezidaa at KTC..
 
Hahahaaaa. Mkuu ilikuwa zamani,sasa hv natii sheria bila shuruti. Yule mama si alikuwa anaitwa madam Josephine. Jamaa kumbe alikuja kuvuta,rip my prezidaa at KTC..[/Q

Jamaa alivuta na alikwenda akawa rais pale RUCCO, alikuwa agombee ubunge Mbeya vivini kwa tiketi ya chama fulani. , Dah, kwa mgosi moja...sasa hivi pana fensi kubwa, ila vyumba vya chuo B wameweka milango na wamepandisha kuta
 
Mmm kasome kwanza mazingira yaweza kuw mzigo kwako enzi hizo miaka ya 2009 kulikuwa na wizi.wa.aina mbili kati ya wanachuo wenyewe na wahun wa mtaan pale tu mnaporipot wanajichanganya na nyie wanajifanya nao ni wanachuo kuwa makin
 
Mmm kasome kwanza mazingira yaweza kuw mzigo kwako enzi hizo miaka ya 2009 kulikuwa na wizi.wa.aina mbili kati ya wanachuo wenyewe na wahun wa mtaan pale tu mnaporipot wanajichanganya na nyie wanajifanya nao ni wanachuo kuwa makin

shukrani sana kaka itabidi niiche kwanza home nikasome kwanza mazingira.
 
Back
Top Bottom