Naomba kufahamishwa kuhusu QT

justine mosha

New Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
2
Reaction score
0
naombeni kujua hili swala silielewi...je Kwa QT 1 huwa wanafanya mtihani wenye masomo gani?na hufaulu kwa wastani gan??na vp kuhusu QT 2 nao hufanya mtihani wa masomo mangapi?na ufaulu wao hutakiwa wastan upi?naombeni mnijuze kwa anayefaham hilo
 
Nafahamu QT1,wanafanya masomo sita,ila passmark ndo sijajua,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…