Naomba kufahamishwa kuhusu QT

Naomba kufahamishwa kuhusu QT

justine mosha

New Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
2
Reaction score
0
naombeni kujua hili swala silielewi...je Kwa QT 1 huwa wanafanya mtihani wenye masomo gani?na hufaulu kwa wastani gan??na vp kuhusu QT 2 nao hufanya mtihani wa masomo mangapi?na ufaulu wao hutakiwa wastan upi?naombeni mnijuze kwa anayefaham hilo
 
Nafahamu QT1,wanafanya masomo sita,ila passmark ndo sijajua,
 
Back
Top Bottom