Naomba kufahamishwa kuhusu tatizo la kushindwa kukojoa kwa wazee

Naomba kufahamishwa kuhusu tatizo la kushindwa kukojoa kwa wazee

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kama unamfahamu mzee yoyote mwenye tatizo la kushindwa kukojoa mkojo (urine) au mkojo hautoki kwa usahihi naomba niunganishe naye tiba yeetu ni bure.
 
Kama unamfahamu mzee yoyote mwenye tatizo la kushindwa kukojoa mkojo (urine) au mkojo hautoki kwa usahihi naomba niunganishe naye tiba yeetu ni bure.
Weka namba yako ya simu (mobile) au e-mail au Whatsapp Mkuu tukuunganishe chap. Vinginevyo pata mawasiliano na Urology Dept. yoyote wako wengi tu. Watakushukuru sana pia "watakutoa".
 
Kama unamfahamu mzee yoyote mwenye tatizo la kushindwa kukojoa mkojo (urine) au mkojo hautoki kwa usahihi naomba niunganishe naye tiba yeetu ni bure.
Fafanua vizuri Huduma unaitolea wapi kwa maana ya eneo ulipo au unamfuata mgonjwa au inakuwaje? Mawasiliano hakuna au wakufuate humu JF?[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom