Naomba kufahamishwa kuhusu ugonjwa wa Gerd

Naomba kufahamishwa kuhusu ugonjwa wa Gerd

Pax Vobiscum

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
450
Reaction score
757
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!
 
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!
Nipm inbox nikupe ushauri kidogo hyo GERD ninayo hata mimi
 
Hili tatizo halina inayo tibu kabisa… bali kuna dawa inayo punguza maumivu tu… hayo masharti ndio tiba tosha… lifestyle yako na vitu kadhaaa
 
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!
Kwa kweli uzima ndo tunu muhimu kuliko zote, tumshukuru sana mwenyezimung kwa huu uzima tulio nao, na tusimkufuru mwenyezimungu kwa kutunyima vingin
 
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!

Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!

Pole,

GERD: Gastro Esophageal Reflux Disorder/Disease

Ni kitendo cha sehemu ya chakula iliyokwisha kuingia tumboni kurudi juu/sehemu ya juu ya njia ya chakula kabla ya tumbo.

Sababu ya msingi ya kitendo hiki ni kutokana na kulegea kwa kifundo kinachotakiwa kubana ili hali husika isitokee.

Kuna sababu mbalimbali zinazohusishwa kuwa chanzo:

1: Tatizo la kuzaliwa nalo

2: Henia kwenye tumbo

3: Unene uliopitiliza

4: Kupungua sana baada ya kuwa mnene

5: Presha kubwa ndani ya tumbo (ujauzito).

6: Matumizi ya baashi ya dawa

7: Nk.

Dalili
Dalili za tatizo husika huwa ni tofauti kulingana na hali husika

1: Kiungulia

2: Kikohozi cha mara kwa mara hasa siku

3: Kubanwa kifua

4: Mate machungu hasa asubuhi

5: Vidonda mdomoni

6: Kuwa na harufu mbaya mdomoni

7: Nk.

Tiba
Tiba ya tatizo hili hutegemea na chanzo kwa mhusika na kiaai cha tatizo:

1: Dawa

2: Mabadiliko kwenye mwenendo wa kimaisha

3: Upasuaji

A: Dawa
Dawa za kupunguza zaidi na kupanfilia mwenendo w chakula kwenye mfumo wa chakula paomja na kuondoa kichefuchefu hutumika.

B: Mgonjwa hushauriwa kuondoa visababishi alivyonavyo au vinavyoonekana kusababisha tatizo kwake.

1: Kutokutumia vyakula vyenye muwashawasha kama pilipili, tangawizi nk.

2: Kutokula vyakula vyenye mafuta mengi

3: Kutokula vyakula vichachu kama ndimu, limao nk.

4: Kutokula ukashiba sana

5: Kula saa tatu kabla ya kwenda kulala

6: Kuweka kitanda chako/ kuinua nyuzi 45 upande unaoweka kichwa.

7: Kuhakikisha unapata chakula kwa muda husika

8: Kuzingatia matumizi sahihi ya dawa husika

C: Upasuaji
Hufanyika kwa wale wenye henia kulingana na kiasi cha henia na pia wale wenye kiasi hatarishi zaisi cha ugonjwa kulingana na viwango.

NB: Kulingana na dalili husika wakati mwingine tatizo hili huusishwa na matatizo ya moyo au kifua hasa pumu, hivyo ni muhimu kwa mgonjwa kujieleza vyema na mtaalamu wa afya kuwa makini sana na wakati mwingine mi muhimu kuhuaisha vipimo zaidi kabla ya kutoa hitimisho.
 
Pole,

GERD: Gastro Esophageal Reflux Disorder/Disease

Ni kitendo cha sehemu ya chakula iliyokwisha kuingia tumboni kurudi juu/sehemu ya juu ya njia ya chakula kabla ya tumbo.

Sababu ya msingi ya kitendo hiki ni kutokana na kulegea kwa kifundo kinachotakiwa kubana ili hali husika isitokee.

Kuna sababu mbalimbali zinazohusishwa kuwa chanzo:

1: Tatizo la kuzaliwa nalo

2: Henia kwenye tumbo

3: Unene uliopitiliza

4: Kupungua sana baada ya kuwa mnene

5: Presha kubwa ndani ya tumbo (ujauzito).

6: Matumizi ya baashi ya dawa

7: Nk.

Dalili
Dalili za tatizo husika huwa ni tofauti kulingana na hali husika

1: Kiungulia

2: Kikohozi cha mara kwa mara hasa siku

3: Kubanwa kifua

4: Mate machungu hasa asubuhi

5: Vidonda mdomoni

6: Kuwa na harufu mbaya mdomoni

7: Nk.

Tiba
Tiba ya tatizo hili hutegemea na chanzo kwa mhusika na kiaai cha tatizo:

1: Dawa

2: Mabadiliko kwenye mwenendo wa kimaisha

3: Upasuaji

A: Dawa
Dawa za kupunguza zaidi na kupanfilia mwenendo w chakula kwenye mfumo wa chakula paomja na kuondoa kichefuchefu hutumika.

B: Mgonjwa hushauriwa kuondoa visababishi alivyonavyo au vinavyoonekana kusababisha tatizo kwake.

1: Kutokutumia vyakula vyenye muwashawasha kama pilipili, tangawizi nk.

2: Kutokula vyakula vyenye mafuta mengi

3: Kutokula vyakula vichachu kama ndimu, limao nk.

4: Kutokula ukashiba sana

5: Kula saa tatu kabla ya kwenda kulala

6: Kuweka kitanda chako/ kuinua nyuzi 45 upande unaoweka kichwa.

7: Kuhakikisha unapata chakula kwa muda husika

8: Kuzingatia matumizi sahihi ya dawa husika

C: Upasuaji
Hufanyika kwa wale wenye henia kulingana na kiasi cha henia na pia wale wenye kiasi hatarishi zaisi cha ugonjwa kulingana na viwango.

NB: Kulingana na dalili husika wakati mwingine tatizo hili huusishwa na matatizo ya moyo au kifua hasa pumu, hivyo ni muhimu kwa mgonjwa kujieleza vyema na mtaalamu wa afya kuwa makini sana na wakati mwingine mi muhimu kuhuaisha vipimo zaidi kabla ya kutoa hitimisho.
Shukrani Sana mkuu, umetoa darasa zuri sana, ubarikiwe sana ndugu!!
Daah hili tatizo changamoto Sana,

Sijui km litakuja kuisha hasa Hali ya kifua kubana
 
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!
Nilikuwa na shida kama hyo nilitembea hospital kadhaa ikiwemo Rabinisia ila dawa hazikufua dafu.Nikapataa mzee mmoja nikaambiwa ana dawa za kienyeji till now nipo good.
 
Habari wakuu?

Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.

Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?

Vipi chanzo Cha ugonjwa huo ni nini?

Kwa ufupi nilipata shida katika mfumo wa upumuaji, napumua kwa shida, kifua kinabana, ktk kuhangaika matibabu nilipata vipimo vingi hospital za wilaya, Kanda Hadi Muhimbili.

Lakini mwisho wa yote Daktari aliniambia itakuwa Ni swala la Acid reflux, kupelekea hiyo GERD.

Hii Ni baada ya vipimo kuonyesha Sina shida yoyote kwenye mapafu, moyo, Sina cholesterol n.k.

Nikapewa dawa dozi ya miezi 3, nikamaliza Daktari aliniambia Hilo tatizo litaisha tu taratibu Wala nisihangaike hospital nitapoteza gharama tu, Ila inabidi nifate mashartiambayo Ni mengi kidogo.

Masharti nafuata japo siyo 100% lkn najitahidi kufuata, lkn Hadi Sasa Ni mwaka Ila Hali bado haijatengamaa, nafuu IPO lkn kidogo.

Nimeamua kuja kwenu Greater Thinkers ili nipate lolote toka kwenu hasa msaada wakitaalamu, ushuhuda kwa waliopata hili tatizo au kuuguza mtu mwenye tatizo hili.

Karibuni sana wakuu!
Pole sana kiongozi, ulifanikiwa kupata matibabu au bado tatizo linakusumbua?

Mimi nafahamu dawa za mimea, ukipenda naweza kukuandalia, nimeona na kuna mwingine pia ana tatizo la GASTRITIS.

Kiujumla Kwa yoyote mwenye tatizo la PEPTIC ULCERS, GERD, GASTRITIS dawa zake nazifahamu.

Naweza kumuandalia atakaependa. Utalipia tu 10,000Tshs kwa kuwa nitatumia muda na fedha kuandaa dawa hizo.

Aghalabu hiyo dawa utakayolipia 10,000Tshs huwa inatosheleza kwa matibabu mpaka kupona, mara chache kuhitajika dozi ya pili isipokuwa kwa tatizo lenye athari za muda mrefu.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom