Pole sana kiongozi, ulifanikiwa kupata matibabu au bado tatizo linakusumbua?
Mimi nafahamu dawa za mimea, ukipenda naweza kukuandalia, nimeona na kuna mwingine pia ana tatizo la GASTRITIS.
Kiujumla Kwa yoyote mwenye tatizo la PEPTIC ULCERS, GERD, GASTRITIS dawa zake nazifahamu.
Naweza kumuandalia atakaependa. Utalipia tu 10,000Tshs kwa kuwa nitatumia muda na fedha kuandaa dawa hizo.
Aghalabu hiyo dawa utakayolipia 10,000Tshs huwa inatosheleza kwa matibabu mpaka kupona, mara chache kuhitajika dozi ya pili isipokuwa kwa tatizo lenye athari za muda mrefu.
Asanteni.