Naomba kufahamishwa kuhusu ugonjwa wa Gerd

Nip tayar nipo mwanza
 
Nilikuwa na shida kama hyo nilitembea hospital kadhaa ikiwemo Rabinisia ila dawa hazikufua dafu.Nikapataa mzee mmoja nikaambiwa ana dawa za kienyeji till now nipo good.
huyo mzee yupo wp nipe namba zake
 
Umeeleza vyema mkuu shukran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…