Huyu Leonardo Da Vinci alizaliwa karne ya 15 na wanajamvi humu wanataka kulazimisha tuamini mambo yake?Uko sahihi. Yohana katika biblia ndo alikua mdogo kabisa katika mitume wake na ndo wa mwisho kufa. Biblia inaposema mwanafunzi aliye mpenda Yesu alikuwa ndo huyo. Si tu kuwa yesu alimpenda bali pia walifanana sana kiasi hata Yuda alitumia ishara ya busu ili aakari wasilamate asiye. Huyo ndo Yohana ambaue Yesu alimzaa na Magdaleni. Narudia siyo mimi bali davinci code!
Mkuu sio kama sijui habari ya picha hii.Sasa mkuu hiyo picha original inatembea kwenye historia tangu enzi hizo hamna hata computer.. We unasema photoshop wakati maelfu ya watu wameiona hiyo picha tangu enzi hizo
Mkuu usipotoshe watu...hicho kitabu cha dada vinci kina kurasa zaidi ya 400 na nimekisoma chote, hakuna mahali popote kinazungumzia hii picha zaidi ya theories za kufikirika. OVAkwa kukusaidia fasta fasta tafuda kitabu kinaitwa da vince code, kipo ktk pdf usome mwenyewe
Mkuu hizi ni myths tuuuu....ni kama filamu ya Yesu.Hii picha imechorwa na genious Da Vinci during medieval era..inasemekana imebeba siri nyingi saana. Siri hizo wachache saana wamepata bahati ya kuzing'amua.
Ndio Yesu hakutakiwa kuwa na mtoto wala familia, kwasababu hakuja kwajili ya kulea familia bali kufunza watu njia sahihi, kuunganisha/kupatanisha watu na Mungu baada ya kuasi na zaidi ya yote Kuokoa.Samahani nje ya mada,naomba kuuliza kwani wapendwa yesu alikuwa hatakiwi kuwa na mtoto?
Nimeshajipatia nakala yangu mkuukwa kukusaidia fasta fasta tafuda kitabu kinaitwa da vince code, kipo ktk pdf usome mwenyewe
Hakuna siri ya kanisa acheni kudanganya watu. Siri pekee ni kumfuata Yesu Kristoiyo picha inaelekeza ramani ilipo ambayo imeficha siri nyingi za kanisa katoliki
PoaIweke basi hiyo picha tuku-dadavulie,.
Hii apaIweke basi hiyo picha tuku-dadavulie,.
Kuna kitu gan cha umuhimu sana kwenye Picha ya Mona Lisa iliyochorwa na leornado da Vinci?
Okay,.sasa wewe hapo unaona nn hasa?? Kabla sijakujibu jibu lako.
Ah aiseeWanai-promote sana, ila haina cha ajabu