Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Uko sahihi. Yohana katika biblia ndo alikua mdogo kabisa katika mitume wake na ndo wa mwisho kufa. Biblia inaposema mwanafunzi aliye mpenda Yesu alikuwa ndo huyo. Si tu kuwa yesu alimpenda bali pia walifanana sana kiasi hata Yuda alitumia ishara ya busu ili aakari wasilamate asiye. Huyo ndo Yohana ambaue Yesu alimzaa na Magdaleni. Narudia siyo mimi bali davinci code!
Huyu Leonardo Da Vinci alizaliwa karne ya 15 na wanajamvi humu wanataka kulazimisha tuamini mambo yake?
Ukisoma vitabu vya brown unaweza ukawa kama anayetazama series za kikorea. Yaani kama unashuhudia live yale matukio. Kumbe story tu.
 
Sasa mkuu hiyo picha original inatembea kwenye historia tangu enzi hizo hamna hata computer.. We unasema photoshop wakati maelfu ya watu wameiona hiyo picha tangu enzi hizo
Mkuu sio kama sijui habari ya picha hii.

Najua habari ya Monalisa kiundani, pamoja na picha ya The last supper za Leonardo da vinci

Picha halisi ya Monalisa ipo katika Museum ya Ufaransa mpaka leo hii.

Rais John F. Kennedy alipochukua tu Urais alienda kuiona akiwa ni Rais wa kwanza kuruhusiwa kuiona na kuidalalia bila kuichukua wala kuigusa na iliingiza pesa nyingi sana.

Picha zingine zilichorwa na watu wengine kwa kuiiga hiyo OG

Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 
kwa kukusaidia fasta fasta tafuda kitabu kinaitwa da vince code, kipo ktk pdf usome mwenyewe
Mkuu usipotoshe watu...hicho kitabu cha dada vinci kina kurasa zaidi ya 400 na nimekisoma chote, hakuna mahali popote kinazungumzia hii picha zaidi ya theories za kufikirika. OVA
 
Kitabu cha Dada Vinci i utapeli wa Hollywood wauze Movie...ni agenda za kufikirikakama Hadithi za Biblia.
 
Samahani nje ya mada,naomba kuuliza kwani wapendwa yesu alikuwa hatakiwi kuwa na mtoto?
Ndio Yesu hakutakiwa kuwa na mtoto wala familia, kwasababu hakuja kwajili ya kulea familia bali kufunza watu njia sahihi, kuunganisha/kupatanisha watu na Mungu baada ya kuasi na zaidi ya yote Kuokoa.

Angekuwa na familia angejali zaidi wanafamilia yake badala watu wengine wote wenye dhambi.

Paulo mwenyewe hakuwa na mke wala familia.

Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu gan cha umuhimu sana kwenye Picha ya Mona Lisa iliyochorwa na leornado da Vinci?
 
Iweke basi hiyo picha tuku-dadavulie,.
Hii apa
images.jpeg
 
Kuna kitu gan cha umuhimu sana kwenye Picha ya Mona Lisa iliyochorwa na leornado da Vinci?

Kuna Watu wengine huwa mnalazimisha tu Watu wachukie kisha wawajibuni ' Kunya ' halafu mnakimbilia Kukasirika na Kununa. Hivi utawekaje mada inayohusiana na Picha ya Mtu halafu ' hutusindikizi ' nayo ili tukuelewe vizuri na tuweze kuwa na ' uwanda ' mpana wa Kutiririka na Kuserereka?

Mnaudhi!
 
Back
Top Bottom