Chomo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 250
- 662
Salaam nyote, poleni na mihangaiko ya utafutaji.
Wakuu mm ni mfanyabiashara wa kuuza samaki kutoka ziwa Victoria hawa sato na sangara, nikiri tu kwenye biashara hii ni mgeni yapata miezi 8 sasa.
Bei zimekuwa zikipaa kila leo bila kushuka imepelekea walaji kupunguza manunuzi na hivyo biashara kuwa ngumu na isio na uhakika.
Naomba kujua shida ni nn kwa mlio wazoefu au mlio karibu na ziwani. Tetesi zinasema ziwa lilifungwa na halijafunguliwa bado, wengne wanasema serikali imeruhusu samaki kuuzwa sana nje ya nchi hivyo kumekuwa na uhaba kwa hapa ndani
Naomba kuwasilisha..
Wakuu mm ni mfanyabiashara wa kuuza samaki kutoka ziwa Victoria hawa sato na sangara, nikiri tu kwenye biashara hii ni mgeni yapata miezi 8 sasa.
Bei zimekuwa zikipaa kila leo bila kushuka imepelekea walaji kupunguza manunuzi na hivyo biashara kuwa ngumu na isio na uhakika.
Naomba kujua shida ni nn kwa mlio wazoefu au mlio karibu na ziwani. Tetesi zinasema ziwa lilifungwa na halijafunguliwa bado, wengne wanasema serikali imeruhusu samaki kuuzwa sana nje ya nchi hivyo kumekuwa na uhaba kwa hapa ndani
Naomba kuwasilisha..