Ramadhan Chasigwe
Member
- Aug 11, 2014
- 88
- 8
Eti wakubwa nisaidieni IQ nini.?! Inapimwa vipi.?! eti mtu mwenye IQ kubwa kuliko anaitwa nani na anatoka nchi gani.?!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatafutwa hivi............
chronological age: huu ni umri wa mtu alio nao, kama una miaka 20 basi chronological age yako ni 20 years
mental age:huu ni umri wa akili ya mtu, kama una miaka 10 na unaweza kufanya vitu ambavyo tunategemea afanye mtu wa miaka 15 basi mental age yako ni 15 years
IQ=(mental age/chronological age) x 100
mfano: ukiwa na miaka kumi unafanya vitu vya mtu wa miaka kumi
10/10 x100=100 hii ndio IQ ya mtu wa kawaida
umri unapoongezeka vigezo vinachange kwa sababu reference ya mental age inakosekana.
nowander sex ingekuwa kigezo wabongo tungekuwa magenius !
Inatafutwa hivi............
chronological age: huu ni umri wa mtu alio nao, kama una miaka 20 basi chronological age yako ni 20 years
mental age:huu ni umri wa akili ya mtu, kama una miaka 10 na unaweza kufanya vitu ambavyo tunategemea afanye mtu wa miaka 15 basi mental age yako ni 15 years
IQ=(mental age/chronological age) x 100
mfano: ukiwa na miaka kumi unafanya vitu vya mtu wa miaka kumi
10/10 x100=100 hii ndio IQ ya mtu wa kawaida
umri unapoongezeka vigezo vinachange kwa sababu reference ya mental age inakosekana.
nowander sex ingekuwa kigezo wabongo tungekuwa magenius !
Inatafutwa hivi............
chronological age: huu ni umri wa mtu alio nao, kama una miaka 20 basi chronological age yako ni 20 years
mental age:huu ni umri wa akili ya mtu, kama una miaka 10 na unaweza kufanya vitu ambavyo tunategemea afanye mtu wa miaka 15 basi mental age yako ni 15 years
IQ=(mental age/chronological age) x 100
mfano: ukiwa na miaka kumi unafanya vitu vya mtu wa miaka kumi
10/10 x100=100 hii ndio IQ ya mtu wa kawaida
umri unapoongezeka vigezo vinachange kwa sababu reference ya mental age inakosekana.
nowander sex ingekuwa kigezo wabongo tungekuwa magenius !