Wapwa kwema?
Wakuu, naomba tupeane taarifa yoyote inayohusu hiki kilimo (niko interested nacho);
Mfano:
Wapi kinalimwa kwa wingi,
Mtaji wa kuanzia
Eneo lipi zuri la kulima
Eneo la kuanzia (ukubwa)
Soko lake linaweza kua wapi na zingine zote unazozijua wewe!
Karibuni wapwa, tujenge safari ya matumaini.
Njombe zinapatiakana kwa wingi, ukiweza pata mawasiliano na watu wa huko.
Ofcoz yes! maana pia nliuliza kuhusu hichi kilimo, taarifa nlizozipt ni nyingi pamoja na hzi ulizosema !!! unajua kuna sku nlienda kijijin nlikutana na mtu alielima numbu! so I was so excited if I could take an opportunity unfortunately kilimo chenyewe ndo hicho!Mtazamo wangu unaona; Unatafuta taarifa za kilimo kisicho na Tija... Kwa jinsi numbu zinavyolimwa hazihitaji ukisasa kwa maeneo nilikoshuhudia wakilima. Zinalimwa sehemu kame aridhi yenye asili ya mbuga. Yaani hazitaki sehemu yenye rutuba kwa mujibu wa walaji
AsanteeeWasiliana na: +255766797400 /+255673797408
Email: daudilyela@yahoo.com
Numbu ni nini? Au kuna Jina lingine maarufu?Wapwa kwema?
Wakuu, naomba tupeane taarifa yoyote inayohusu hiki kilimo (niko interested nacho);
Mfano:
Wapi kinalimwa kwa wingi,
Mtaji wa kuanzia
Eneo lipi zuri la kulima
Eneo la kuanzia (ukubwa)
Soko lake linaweza kua wapi na zingine zote unazozijua wewe!
Karibuni wapwa, tujenge safari ya matumaini.
ππππππ (kuhus alieulz numbu ni nin) ..Asante saana mkuu kwa hiliππππZinalimwa sana Njombe hata Mbeya pia ila nadhani hazina ishu kiuchumi. Labda kama umeshachungulia soko. Nimecheka kuna mtu kauliza Numbu ni nini nikakumbuka ukitamka Numbu Usukumani wanatambua ni Viazi vitamu. N wayz zenyewe hizi hapa![emoji3] View attachment 1819755
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika!! nimepata mwangazaNatumae mleta mada umepata muongozo...
Sawa sawa boss! asanteNjombe zinapatiakana kwa wingi, ukiweza pata mawasiliano na watu wa huko.
Sawa sawa boss!!! asanteKatikati ya kigoma na kasulu nilikuaga naziona, jaribu kufatilia huko
daa!! ngoja nisearch more on it mkuu! ntakuja na cha ziada badaeNumbu ni nini? Au kuna Jina lingine maarufu?
Zina kazi gani, ni chakula ama ni spice au? !!!!!Zinalimwa sana Njombe hata Mbeya pia ila nadhani hazina ishu kiuchumi. Labda kama umeshachungulia soko. Nimecheka kuna mtu kauliza Numbu ni nini nikakumbuka ukitamka Numbu Usukumani wanatambua ni Viazi vitamu. N wayz zenyewe hizi hapa![emoji3] View attachment 1819755
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aina fulani hivi jamii ya viazi vitamu Ila vyenyewe haviwi vinene na vinalimwa Sana nyanda za juu kusini na hazina Radha yoyoteNumbu ni nini? Au kuna Jina lingine maarufu?
HAhahaha!! afu hii inaeza kua fursa ujueNi aina fulani hivi jamii ya viazi vitamu Ila vyenyewe haviwi vinene na vinalimwa Sana nyanda za juu kusini na hazina Radha yoyote
Pia ni vizuri kwa kuliwa na wagonjwa na ukiona mgonjwa wako kakataa kula nunbu uyo subilini kuzika tu
Poa ndugu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] (kuhus alieulz numbu ni nin) ..Asante saana mkuu kwa hili[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]