kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Zinaliwa aidha zikiwa mbichi ambapo hutolewa hilo gamba la nje zinabaki nyeupe ndani ama zinapikwa ambapo hupikwa na hilo ganda lake kisha wakati Wa kula unamenya hilo ganda lake ndio unakulaZina kazi gani, ni chakula ama ni spice au? !!!!!