Naomba kufahamishwa mshahara wa mwalimu wa shule za msingi daraja III

Naomba kufahamishwa mshahara wa mwalimu wa shule za msingi daraja III

Kweli mkuu lakini tuwasaidie tu maisha yao magumu sana
Mkuu watakao umia na njaa ni walimu wa kiume walimu wa kike silaha yao ni kuzaliwa wazuri maana wataolewa na boss yeyote \watahongwa
 
Mkuu watakao umia na njaa ni walimu wa kiume walimu wa kike silaha yao ni kuzaliwa wazuri maana wataolewa na boss yeyote \watahongwa
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji115]
 
Uwezi kupata taarifa sahihii za kiutumishi humu ,nenda kwenye ofisi husika kaulize utaonyeshwa na nyaraka za ivyo vitu
 
Nakuomba sana, mototo wa mwaume mwenzangu, endelea kuwa mvumilivu kwa kupokea hicho kidogo anchokulipa, hali ya hewa sio nzuri kabisa. Maana watoto wengine hakina matumizi wanakuwa haraka sana, kuliko huyu mototo anaeitwa Mshahara, yeye kadumaa.
 
Usiseme walimu wa msingi sema mtumishi wa uma anayeanza kazi salary scale yake ni ipi?
Hizo kasumba eti walimu wanalipwa tofauti na wenzao ni uongo na ilikuwa ktk marupurupu bit by not they are out!.
 
Back
Top Bottom