seleman msumeno
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 202
- 34
Hapo kwa hkl ni lazma uwe na vitabu vifuatavyoNami pia msaada vitabu gan nitafute HKL na GEOG
Alie kwambia tunataka kwenda shule il tupate kaz nan...... We kweli ujasoma weWapo nyumbani hawana ajira, wengine wanafanya kazi na kulipwa mshahara kidogo,
In shortly waliosoma wengi wao wakimaliza masomo hutegemea kuajiriwa, na hata kama hatopenda kuajiriwa na kuamua kujiajiri hatokuwa na mtaji wa kutosha au asiwe nao kabisa huo mtaji wa kuanzia biashara yake.
Hivyo muda mwingi atakuwa hafanyi shughuli yeyote au atafanya shughuli ambayo hakutarajia kufanya ila ilimbidi afanye kusudi aweze kuishi.
Kwa upande mwingine mtu asiye soma ama alisiyekuwa na elimu muda mwingi hutumia akili kutafuta pesa mtaani haijalishi ni kazi gani atafanya ila akili ya kutafuta pesa atakuwa nayo maradufu, hii ndio tofauti ya aliyesoma & asiyesoma.
Hao niliosoma nao na walioendelea bado hawajaweza kunizidi kipato.
Nimewaonea huruma.
" try to be different "
" if you want it, you have to work for it "
Naona hujanielewa,Alie kwambia tunataka kwenda shule il tupate kaz nan...... We kweli ujasoma we
Mbona S.A watu wamesoma karbu nchi nzima lakin hawana kaz na wanaish na kufankiwa kimaisha
We utakua uliona bora ktoa p... mtaan
Asante kwa ushauri lakin
Sawa mkuu tupe mbinu bas na cc ili tukiacha kusoma tufany kama ulivofany wwWapo nyumbani hawana ajira, wengine wanafanya kazi na kulipwa mshahara kidogo,
In shortly waliosoma wengi wao wakimaliza masomo hutegemea kuajiriwa, na hata kama hatopenda kuajiriwa na kuamua kujiajiri hatokuwa na mtaji wa kutosha au asiwe nao kabisa huo mtaji wa kuanzia biashara yake.
Hivyo muda mwingi atakuwa hafanyi shughuli yeyote au atafanya shughuli ambayo hakutarajia kufanya ila ilimbidi afanye kusudi aweze kuishi.
Kwa upande mwingine mtu asiye soma ama alisiyekuwa na elimu muda mwingi hutumia akili kutafuta pesa mtaani haijalishi ni kazi gani atafanya ila akili ya kutafuta pesa atakuwa nayo maradufu, hii ndio tofauti ya aliyesoma & asiyesoma.
Hao niliosoma nao na walioendelea bado hawajaweza kunizidi kipato.
Nimewaonea huruma.
" try to be different "
" if you want it, you have to work for it "
Ahsante sana mkuuHapo kwa hkl ni lazma uwe na vitabu vifuatavyo
ADVANCED MASTERING1
ADVANCED MASTERING2~by mwalimu kato
ESSENTIAL ADVANCED HISTORY~saleh yasin
CONTEMPORALY HISTORY by mwalimu shibitali
KISWAHILI
NYAMBARI NYANGWINE kinatosha
LANGUAGE
kimeandikwa na nicholous ashery
Life are differ.Sawa mkuu tupe mbinu bas na cc ili tukiacha kusoma tufany kama ulivofany ww
Ok bas tutafany tunachotaka kama elim hatutapata ajira bas tutajiajirLife are differ.
Fanya kile unachoona wewe unakiweza usifanye kwa kuwa mwingine amefanya,
Kama unasoma nenda shule kasome ila kwa mfumo huu wa elimu Tanzania, ni sawa na kujaza maji kwenye gunia.
" make yourself priority "
Poa ni wewe tu na mtazamo wako.Ok bas tutafany tunachotaka kama elim hatutapata ajira bas tutajiajir
OkPoa ni wewe tu na mtazamo wako.
Hakuna kitabu ambacho ni lazima uwe nacho as at advanced level esp for science no specific book authorized but mimi binafsi kwa chemistry nilitumia CHAND(Kidogo, coz kuna wataalamu wanatoa materials mazuri tu yanayokubalika)na BIOLOGICAL SCIENCE for bios!Jaman kwa anauejua vitabu na vitu vingine ambavyo mwanafunz anaye soma chemistry na biology lazma awe navo
NASHUKURU MKINITAJIA LIST...
Halafu learn how to right sanitily, tutajiajir ndo nini mbona mnatutia aibu wasomi dah!Ok bas tutafany tunachotaka kama elim hatutapata ajira bas tutajiajir
Nyie wasomi sawa ndo mana mnatukosoa c ndo kwanza tunafungua kurasa cjaona kinachokushangazaHalafu learn how to right sanitily, tutajiajir ndo nini mbona mnatutia aibu wasomi dah!
Ok ila nasikia mpaka uilipe ndo uchukue material cjui kama ni kwelKama hkl simple unaeza anza kupiga msuli hata saiz aisee ingia play store angalia kuna app inaitwa thl inanotes zote form 1 up to six
Ya unalipia kwa mwezi 2000 watakuppa siku 5 za trialNyie wasomi sawa ndo mana mnatukosoa c ndo kwanza tunafungua kurasa cjaona kinachokushangaza
Ok ila nasikia mpaka uilipe ndo uchukue material cjui kama ni kwel
Ni kweli ujinga ila na mm nqmaamz yanguHakuna kitabu ambacho ni lazima uwe nacho as at advanced level esp for science no specific book authorized but mimi binafsi kwa chemistry nilitumia CHAND(Kidogo, coz kuna wataalamu wanatoa materials mazuri tu yanayokubalika)na BIOLOGICAL SCIENCE for bios!
Na unaonekana unakwenda kusoma masomo mawili tu yaani comb. yako ni ?CB thats ridiculous!
Natafuta materials ya mwanafunzi wa HKL. Naombeni msaada. Nipo Ubungo Dar es SalaamHapo kwa hkl ni lazma uwe na vitabu vifuatavyo
ADVANCED MASTERING1
ADVANCED MASTERING2~by mwalimu kato
ESSENTIAL ADVANCED HISTORY~saleh yasin
CONTEMPORALY HISTORY by mwalimu shibitali
KISWAHILI
NYAMBARI NYANGWINE kinatosha
LANGUAGE
kimeandikwa na nicholous ashery