Naomba kufahamishwa

Naomba kufahamishwa

Usalama barabarani

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
867
Reaction score
1,066
Habari za weend mabibi na mabwana! Hivi kuna wanaume wanaojiuza au kutoa huduma kama wanazotoa wanawake makahaba?? Yani nao wanajipanga kama kawa kuonesha ushindani wa viungo vyao ama inakuaje?? Vipi mwanamke ukihitaji wa kukukojoza na kukutoa nyegekwa muda then kilamtu nazake wapo?? Naomba kujuzwa
 
Be specific unahitaji huduma gani?, unataka ujue sehemu wanayojiuza ili nawe uende kujiuza ama unataka kununua?, wewe ni jinsia gani? Unahisi uzi wako una maana na tija yoyote kwa wasomaji na jamii? Je ukifutwa utakua umeonewa?
Aulizaye ataka kujua sitaki huduma yoyote,, mimi ni ke,, ufutwe kwa lipi?? Wanaume kwa wanaume wanaingiliana sembuse mimi kutaka kufahamu hili la jinsia zenye viungo vya uzazi tofauti ila wauzaji ni me ndoiwe tija!! Kwanini ni wanawake tu ndio wafanye hivi wanaume na si na wanaume pia?? Dunia inaenda kasi mamdogo so nahitaji kufahamu
 
Aulizaye ataka kujua sitaki huduma yoyote,, mimi ni ke,, ufutwe kwa lipi?? Wanaume kwa wanaume wanaingiliana sembuse mimi kutaka kufahamu hili la jinsia zenye viungo vya uzazi tofauti ila wauzaji ni me ndoiwe tija!! Kwanini ni wanawake tu ndio wafanye hivi wanaume na si na wanaume pia?? Dunia inaenda kasi mamdogo so nahitaji kufahamu
Then ukijua what for? Je ni legal business hadi uipromote?
Sawa Mamkubwa mimi dunia yangu inaenda taratibu.😬
 
Zamani nilifikiri wanaume pekee ndiyo huwa tunatamani kujua hata vitu vya ajabu ajabu. Kumbe ke pia[emoji38]
Ona Mlivo selfish na wakujithamini sasa?? Ndio kwamba huu wingi wa wanawake ndio unapelekea wao kujiuza ama?? Kama ni life's hardship mbona kuna wanaume hali tete kimaisha?? Kwanini nao wasijiuze kwa wanawake?? Kwani hakuna wanawake wenye pesa??
 
Ona Mlivo selfish na wakujithamini sasa?? Ndio kwamba huu wingi wa wanawake ndio unapelekea wao kujiuza ama?? Kama ni life's hardship mbona kuna wanaume hali tete kimaisha?? Kwanini nao wasijiuze kwa wanawake?? Kwani hakuna wanawake wenye pesa??
Wewe unayopesa ya kumnunua mwanaume !
Hata wa huko mtaani
Usiseme wengine.
 
kwamba huku mtaani nimefulia nikakosa kabisa mpaka nije kuhangaika na hawa fekero wa nyuma ya keyboard?? Sijafikia hatua hio
Fekero hawa hawa ambao unawaomba msaada wa maelezo yao. Kifupi unaomba kupata maarifa kwa watu unaowaita fake.
Mbaya zaidi ni kuwa maelezo yao upo tayari kuyapokea.
 
Habari za weend mabibi na mabwana! Hivi kuna wanaume wanaojiuza au kutoa huduma kama wanazotoa wanawake makahaba?? Yani nao wanajipanga kama kawa kuonesha ushindani wa viungo vyao ama inakuaje?? Vipi mwanamke ukihitaji wa kukukojoza na kukutoa nyegekwa muda then kilamtu nazake wapo?? Naomba kujuzwa
Aulizaye hutaka kujua. Sehemu ninayofahamu ni Berlin wapo na kuna mtaa wanawake walioolewa wanatafuta. Ni huduma ya bure wanaitwa kostenloss frauen. Hivyo mwanaume unajipanga barabarani na mwanamke akivutiwa nawe anakuchagua mnakulana kwenye gari lake unasepa naye anasepa. Hakuna kulipishana lakini. Ila kwa weusi ni shida sana maana skin head huwa wanadhani utawachafua wanawake wao.
 
Aulizaye hutaka kujua. Sehemu ninayofahamu ni Berlin wapo na kuna mtaa wanawake walioolewa wanatafuta. Ni huduma ya bure wanaitwa kostenloss frauen. Hivyo mwanaume unajipanga barabarani na mwanamke akivutiwa nawe anakuchagua mnakulana kwenye gari lake unasepa naye anasepa. Hakuna kulipishana lakini. Ila kwa weusi ni shida sana maana skin head huwa wanadhani utawachafua wanawake wao.
Asante mkuu!
 
Aulizaye hutaka kujua. Sehemu ninayofahamu ni Berlin wapo na kuna mtaa wanawake walioolewa wanatafuta. Ni huduma ya bure wanaitwa kostenloss frauen. Hivyo mwanaume unajipanga barabarani na mwanamke akivutiwa nawe anakuchagua mnakulana kwenye gari lake unasepa naye anasepa. Hakuna kulipishana lakini. Ila kwa weusi ni shida sana maana skin head huwa wanadhani utawachafua wanawake wao.
Acha nipite kimya kimya mie.😁😁😁
 
Then ukijua what for? Je ni legal business hadi uipromote?
Sawa Mamkubwa mimi dunia yangu inaenda taratibu.[emoji51]
Kweli wanawake hampendani [emoji23][emoji23] ...Mimi hapa saizi nikipost nimegundua chimbo la Dada poa wakali wasio na longolongo na wapo wa kutosha aiseee nitaulizwa liko wapi Hadi sio poa na lazima niwajibu na niwaoneshe [emoji39][emoji39][emoji39] ila nyie sasa .....Dada wa watu kajiulizia tu sijui ugumu umembana wewe umemkomalia utafikiri kakuibia[emoji3][emoji3] come on acha hizo bana
 
Back
Top Bottom