Naomba kufahamishwa.

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Kuna jirani yangu alipora kipande cha ardhi yangu kwa kuwa sikuwepo kwa muda wa miaka 4 pale nyumbani. Niliporudi na kuona hivyo, nilifungua kesi katika Baraza la Kata.

Baraza lilifika kuangalia eneo husika linalogombaniwa ikiwa ni pamoja na mashahidi wa pande zote mbili kutoa ushahidi wao. Hatamaye nilishinda kesi ingawa Baraza la Kata halikuja tena kuweka mipaka kati yetu kwamba nani mpaka wake unaishia wapi.

Je, naweza kuendelea kufanyia kazi eneo hilo kwa kutumia mipaka nikiyoonesha wakati wa kesi?
 
Wanasheria washalala muda huu.

Post tena kesho asubuhi
 
Waite
Waite waweke mipaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…