Naomba kufahamishwa

Joined
Aug 23, 2015
Posts
39
Reaction score
12
habar wadau, naomba kufahamishwa kuhusu sheria ya ujenz wa mabarabara na kuelekeza maji yake kwenye makaz ya watu.maana huku kwetu kuna barabara imejengwa na maji yake yameelekezwa kwenye mij yetu sa tufanyeje kuzisaidia nyumba zetu.
 
Barabara imejengwa na maji yake yameelekezwa kwenye makazi.

Barabara za nchi ulipo zinatoa maji?

Je,maji yamewafuata ama ninyi mumeyafuata?
 
pole sana, nendeni serikali ya mtaa husika mkaeleze tatizo lenu, ila kama mnataka kwenda mahakamani mnatakiwa muwe na sababu (cause of action) mfano kuna uharibifu umetokea kutokana na hiyo mitaro kuelekezwa kwenye nyumba zenu, na wa kumhitaki hapo ni mkandarasi na taasisi inayohusika na ujenzi huo (kwa maana ya serikali)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…