Naomba kufahamu gharama za Building/Construction material warehouse in Dar es Salaam

gerryrock

New Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
0
Reaction score
0
Habari za muda huu wadau

Ninaomba kufahamu zaidi kuhusu gharama za kukodisha ghala la kuhifadhi materials ya ujenzi ( Construction materials warehouse house) lenye square meter 400 lili chin ya mamlaka ya serikali.

Kwa mkoa wa Dar es Salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…