Naomba kufahamu haya kuhusu Malcom X, Elijah Mohamed na Minister Farrakhan

Naomba kufahamu haya kuhusu Malcom X, Elijah Mohamed na Minister Farrakhan

Farakhan ni Jihuni lililovaa Iislam na Uafrika.
BST!. Wameunda uislam wao wa kihuni ulio na misingi ya Kimarekan.
Lina kipaji cha kuongea ila ni Jitu la chuki na kupenda umaarufu.
Msipoteze muda wenu kumsikiliza. He is not true Negroe!!
Farakhan nalifananisha huku kwetu na watu kama kina Gwajima,Mwamposa,And the like.
Ni wahuni hawana lolote.
 
Nitakuja na uzi maalaumu wenye uchambuzi wa ndani kabisa kuhusu NOI ,Malcom X na harakati zake zote za kimaisha .

Utakuwa evidence based katika kipa kipengele nishakusanya audio clips video now namalizia Kitabu cha tatu kabla ya kupanga mtiririko vizuri.
adriz uli leta au ndo Kama gun man season 2 😂🤣
 
Back
Top Bottom