Naomba kufahamu haya kuhusu Malcom X, Elijah Mohamed na Minister Farrakhan

Farakhan ni Jihuni lililovaa Iislam na Uafrika.
BST!. Wameunda uislam wao wa kihuni ulio na misingi ya Kimarekan.
Lina kipaji cha kuongea ila ni Jitu la chuki na kupenda umaarufu.
Msipoteze muda wenu kumsikiliza. He is not true Negroe!!
Farakhan nalifananisha huku kwetu na watu kama kina Gwajima,Mwamposa,And the like.
Ni wahuni hawana lolote.
 
adriz uli leta au ndo Kama gun man season 2 😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…